• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI.

22 December 2017

OR-TAMISEMI imetangaza ajira mpya kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari. Majina ya Walimu haya yanatokana na Tangazo la Serikali la kuziba nafasi zilizoachwa wazi na Walimu katika Shule za Msingi na Sekondari waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi mapema mwaka huu na hivyo kuondolewa kwenye Utumishi wa Umma.

Baada ya uhakiki wa maombi ya Walimu yaliyotumwa Serikalini, jumla ya Walimu 3,033 wamechaguliwa na kupangiwa vituo vya kazi. Kati yao, Walimu 266 ni wa Sekondari na Walimu 2,767 ni shule za msingi. Walimu hao watatakiwa kuripoti katika Ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri zilipo shule walizopangiwa na kisha watakwenda kuripoti kwenye Shule hizo. Walimu hao wanatakiwa kuripoti kuanzia tarehe 27 Desemba, 2017 hadi tarehe 07 Januari, 2018 wakiwa na mahitaji yafuatayo:-

(i) Vyeti halisi vya taaluma vya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita;

(ii) Cheti halisi cha kitaalamu cha kuhitimu mafunzo ya Ualimu kwa ngazi husika; na

(iii) Cheti cha kuzaliwa.

Aidha, OR-TAMISEMI inawaelekeza walimu waajiriwa wapya waliopangiwa vituo vya kazi kuwa:

i. Vituo vyao vya kazi ni Shule za Msingi kwa walimu waliopangiwa kufundisha Elimu ya Msingi na Shule za Sekondari kwa walimu waliopangiwa kufundisha Elimu ya Sekondari na sio Makao Makuu ya Halmashauri.

ii. Mwalimu yeyote atakayebainika kuchukua posho ya kujikimu na baadaye kuondoka/kutoroka kwenye kituo chake cha kazi alichopangiwa atachukuliwa hatua kwa mujibu wa Sheria.

iii. Kila mwalimu amepangiwa kwenye shule ambayo ama haina walimu wa somo husika kabisa au kuna upungufu mkubwa shuleni hapo. Hivyo, waajiriwa wapya hawatahamishwa kutoka shule moja kwenda shule nyingine ndani au nje ya Halmashauri au Mkoa bila ridhaa ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI.

ORODHA YA WALIMU WA ASTASHAHADA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI KATIKA SHULE ZA MSINGI.pdf

ORODHA YA WALIMU WA SHAHADA NA STASHAHADA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI KATIKA SHULE ZA SEKONDARI.pdf

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Toeni taarifa kwa takwimu-RC Kunenge

    July 03, 2025
  • RC Kunenge Aitaka DAWASA Kufanya Tathmini Shirikishi ya Miradi ya Maji Kulingana na Mahitaji ya Wananchi.

    July 02, 2025
  • Pili Mnyema Aanza Rasmi Majukumu Kama Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani.

    June 27, 2025
  • Asasi za Kiraia Zatakiwa Kuimarisha Uwajibikaji, Uwazi na Ushirikiano na Serikali.

    June 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.