Posted on: January 9th, 2026
Leo, Januari 8, 2026, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, ameendesha kikao kazi maalum cha kutoa muongozo na maelekezo ya utekelezaji wa shughuli za Serikali katika sekta zot...
Makadirio ya Idadi ya watu kwa mujibu wa Sensa ya watu na makazi 2022 Mkoa una jumla ya idadi ya watu 2,024.949 wakiwa wanawake 990,616 na Wanaume 1,026,331 = 2,024,947