Posted on: July 16th, 2024
Waziri wa Viwanda na Biashara Dk.Selemani Jafo amefanya ziara ya siku moja kutembelea viwanda katika Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani ikiwa ni pamoja na kusikiliza Changamoto za wawekezaji.
...
Makadirio ya Idadi ya watu kwa mujibu wa Sensa ya watu na makazi 2022 Mkoa una jumla ya idadi ya watu 2,024.949 wakiwa wanawake 990,616 na Wanaume 1,026,331 = 2,024,947