• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Ainisheni majukum yenu kabla ya Januari24-Mchatta

Posted on: January 16th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Pwai Rashid Mchatta amewaelekeza watumishi wote katika taasisi za umma mkoani humo kuhakikisha kuwa wanaainisha majukumu yao ya kazi kupitia mfumo wa PEPMIS kabla ya kufungwa Januari 24, 2024.

Ametoa rai hiyo leo Januari 16, 2024 wakati wa utiaji saini wa Mkataba wa utendaji kazi katika taasisi za umma kati yake na Wakurugenzi wa halmashuri za Mkoani humo na akawaasa Wakurugenzi hao na Wakuu wa idara za halmashauri kuwasimamia kwa karibu zaidi wasaidizi wao katika kutekeleza majukumu yao ya kazi kwa wakati.

Amewasisitiza Watumishi hao kuwa makini katika kuainisha majukumu ambayo yataweza kutekelezeka na kupimika kupiti mfumo wa PEPMIS ambao ndio utakaotumika kupimia utendaji kazi zao.

“Heshima yako kama Mtumishi wa umma ni utendaji wako wa kazi katika eneo lako, hivyo mnapasawa kujituma ili kuweza kulinda heshima yako,” ameeleza Mchatta.

Aidha, Mchatta ameahidi kuwa atausimamia vyema mfumo huo na kuhakikisha utekelezaji wake unaenda kulingana na malengo yaliyowekwa.


Nae kwa upande wake Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Rasilimali Watu kutoka Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Dkt Editha Rwiza amesea zoezi la kujengea uwezo Taasisi za umma Kupitia mifumo ya PEPMIS/PIPMIS lilianza rasmi tarehe 20 Novemba, 2023 nchi nzima.

Dkt Ngaiza alifafanua kuwa zoezi hili ilihusiaha mifumo miwili ni PEPMIS/PIPMIS na HR Assesment ambapo mifumo yote ilifindishwa kwa pamoja

Alieleza zaid kuwa kwa upande wa HR Assesment, zoezi hili lilikuwa limiwahusu wawakilishi wa Idara na Vitengo ili kuangalia mahitaji halisi ya watumishi.

Na mfumo Wa PEPMIS/PIPMIS unamuhusu mtumishi moja kwa moja hivyo bado zoezi la kutoa mafunzo linaendelea.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88