• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Ainisheni majukum yenu kabla ya Januari24-Mchatta

Posted on: January 16th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Pwai Rashid Mchatta amewaelekeza watumishi wote katika taasisi za umma mkoani humo kuhakikisha kuwa wanaainisha majukumu yao ya kazi kupitia mfumo wa PEPMIS kabla ya kufungwa Januari 24, 2024.

Ametoa rai hiyo leo Januari 16, 2024 wakati wa utiaji saini wa Mkataba wa utendaji kazi katika taasisi za umma kati yake na Wakurugenzi wa halmashuri za Mkoani humo na akawaasa Wakurugenzi hao na Wakuu wa idara za halmashauri kuwasimamia kwa karibu zaidi wasaidizi wao katika kutekeleza majukumu yao ya kazi kwa wakati.

Amewasisitiza Watumishi hao kuwa makini katika kuainisha majukumu ambayo yataweza kutekelezeka na kupimika kupiti mfumo wa PEPMIS ambao ndio utakaotumika kupimia utendaji kazi zao.

“Heshima yako kama Mtumishi wa umma ni utendaji wako wa kazi katika eneo lako, hivyo mnapasawa kujituma ili kuweza kulinda heshima yako,” ameeleza Mchatta.

Aidha, Mchatta ameahidi kuwa atausimamia vyema mfumo huo na kuhakikisha utekelezaji wake unaenda kulingana na malengo yaliyowekwa.


Nae kwa upande wake Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Rasilimali Watu kutoka Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Dkt Editha Rwiza amesea zoezi la kujengea uwezo Taasisi za umma Kupitia mifumo ya PEPMIS/PIPMIS lilianza rasmi tarehe 20 Novemba, 2023 nchi nzima.

Dkt Ngaiza alifafanua kuwa zoezi hili ilihusiaha mifumo miwili ni PEPMIS/PIPMIS na HR Assesment ambapo mifumo yote ilifindishwa kwa pamoja

Alieleza zaid kuwa kwa upande wa HR Assesment, zoezi hili lilikuwa limiwahusu wawakilishi wa Idara na Vitengo ili kuangalia mahitaji halisi ya watumishi.

Na mfumo Wa PEPMIS/PIPMIS unamuhusu mtumishi moja kwa moja hivyo bado zoezi la kutoa mafunzo linaendelea.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.