• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Bweni la Kisasa la Wanafunzi Wenye Mahitaji Maaum Lakamilika Shule ya Msingi Nianjema - Bagamoyo.

Posted on: October 15th, 2025

Shule ya Msingi Nianjema, iliyopo katika Mtaa wa Nianjema ‘A’, Kata ya Nianjema, Wilaya ya Bagamoyo, imefanikiwa kukamilisha mradi wa ujenzi wa bweni la kisasa kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum.

Akizungumza kuhusu mradi huo, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Renatus Kisenha, alisema gharama za utekelezaji wa mradi ni Shilingi 141,400,000.00 huku   akibanisha Lengo kuu la mradi huo  ni kuwawezesha wanafunzi wenye mahitaji maalum kujifunza katika mazingira salama, yenye staha na ushirikishwaji, sambamba na kuwajengea ujuzi wa maisha na kuondoa unyanyapaa wa kijamii wanaokutana nao majumbani na mitaani.

Aidha alisema Bweni hilo jipya, lina uwezo wa kuhudumia wanafunzi 80, na kusema kuwa ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania za kuboresha miundombinu ya elimu jumuishi nchini.

Mwalimu Kisenha alisema kuwa fedha zote zilitumika kikamilifu katika ujenzi, uliotekelezwa kwa mfumo wa force account kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa manunuzi ya Serikali (NeST), ambapo kazi ilianza rasmi tarehe 1 Februari 2024 na kukamilika tarehe 15 Julai 2024/2025.

Kukamilika kwa mradi huo kunatarajiwa kuongeza usalama, faraja na ari ya kujifunza kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum, pamoja na kuchochea maendeleo ya elimu jumuishi katika Wilaya ya Bagamoyo.

Kwa niaba ya walimu, wazazi na wanafunzi, uongozi wa Shule ya Msingi Nianjema umetoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuona umuhimu wa mradi huu na kuhakikisha fedha za ujenzi zinapatikana kwa wakati. Pia wamemshukuru Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri, na wananchi wote walioshiriki kufanikisha mradi huu muhimu unaolenga kuinua maendeleo ya watoto wenye mahitaji maalum.

Kwa sasa shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 1,688, wakiwemo wavulana 813 na wasichana 875, wanaofundishwa na walimu 27 (wanaume 10 na wanawake 17). Kati yao, 65 ni wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaonufaika na mazingira rafiki ya kujifunzia pamoja na huduma za malazi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88