• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Chalinze yamaliza Uhaba wa madawati -RC Ndikilo

Posted on: December 13th, 2020


Mkuu wa mkoa wa Pwani,Mhandisi Evarist Ndikilo, ametimiza agizo la Waziri Mkuu kwa kukabidhiMadawati 305,Viti na meza 221 kwa shule mbalimbali za Halmashauri ya Chalinze .

Hatua hiyo ni Utekelezaji wa Maagizo ya Waziri Mkuu ,Kassim Majaliwa aliyoyatoa Desemba 7,mwaka huu kwa Wakuu wa Mikoa la Kusimamia ujenzi wa Miundombinu ya Madarasa na Madawati ili Wanafunzi wote waliofaulu kujiunga na kidato Cha kwanza kuingia Mashuleni ifikapo Februari 28 mwaka 2021.

Akizungumza wakati akiwa Kikaro Sekondari -Miono, mhandisi Ndikilo alieleza ,Halmashauri hiyo ilikuwa inakabiliwa na upungufu wa Viti na Meza 650, vyumba vya Madarasa 13.

"Tatizo la Viti na Meza 650 na Uhaba wa vyumba 13 vya madarasa limekwisha kwenye Halmashauri hii Mmeweka Mikakati Mizuri ya kukamilisha ujenzi wa madarasa hapa, ;Hadi sasa mna upungufu wa Viti na Meza 61 huku Mbunge Ridhiwani Kikwete ametoa fedha Sh. Milioni 3.6 kumaliza Upungufu huu, Ujenzi wa Maboma 17 unaendelea na utakamilika mapema" Hongereni sana Chalinze Alisema Ndikilo.

Pamoja na hayo,Ndikilo alitoa Wito kwa Wakuu wa Wilaya kuendelea kusimamia ujenzi wa Madarasa kwenye Wilaya zao na Amewataka wataalamu kutoka Sekretarieti ya Mkoa kutoka maofisini kwenda kusimamia ujenzi wa Miundombinu hiyo.

Aidha alifafanua, mkoa huo umefaulisha wanafunzi 30,212 sawa na asilimia 86.9, Halmashauri ya Chalinze pekee imefaulisha wanafunzi 4,965 kwa mwaka huu na wote watapaswa Kuingia shuleni Januari 2021.

Akisoma Taarifa Mkuu wa Wilaya hiyo, Zainabu Kawawa alifafanua,

Wilaya hiyo imejipanga kumalizia ujenzi wa Maboma 17 kupitia Sh. Milioni 100 zilizotolewa na Halmashauri ya Chalinze na wamepanga kuanza ujenzi wa Vyumba vya madarasa 21 kwa ajili ya mwaka 2022 .

Ridhiwani alibainisha, Maelekezo ya Waziri Mkuu wameyasimamia na kuyatekeleza chini ya Uongozi wa Ndikilo na Zainab Kawawa na kudai Chalinze ya Sasa Hakuna Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari na Msingi atakayekaa chini.

Ridhiwani alielezea, Umaliziaji wa Madarasa 17 yanayohitajika kuwa tayari kabla Shule hazijafunguliwa nao unaendelea.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.