• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

"Changamoto ya Umeme Pwani kubaki Historia -RC Kunenge

Posted on: July 26th, 2022

Mhe Abubakar Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Amefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya Umeme kuangalia uzalishaji na Upatikanaji wa Nishati ya Umeme kwa Mkoa wa Pwani.

Kunenge ametembelea na kukagua Ujenzi wa kituo kipya cha Chalinze (400/220/132/32 KV) (Substation) ambacho kitapokea umeme kutoka Kwenye Mradi Bwawa la Mwl Nyerere JNHPP na kusambazwa maeneo mbalimbali ya Nchi na Nchi Jirani,

Kunenge Ameeleza mradi huo unajengwa na Mkandarasi TBEA kutoka China kwa Gharama ya Shilingi Bilioni 130 na kwa awamu ya kwanza ya Ujenzi wa Mradi umefikia Asilimia 17 na utakamilika ifikapo Januari 2023.

Ameeleza awamu ya kwanza kituo kitakuwa na Uwezo wa kupooza Megawatt 1000 na Awamu ya pili ni Megawatt 1115, Ameeleza Matarajio yake baada ya kukamilka ni kupata Umeme wa Uhakika kwa Wilaya zote za Mkoa wa Pwani."Kongani zote za Viwanda zitapata Umeme wa Uhakika" Ameeleza Kunenge.

Kunenge amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluh Hassan kwa kuendeleza Ujenzi wa Miundombinu ya Umeme, Maji na Barabara kwa Mkoa wa Pwani.

Ametoa Rai kwa Vijana watakao pata Ajira kwenye Mradi huo kufanya kazi kwa bidii na maarifa na kuepukana na Wizi na kuhakisha kila lilipangwa linakamilika.

katika hatua nyingine Kunenge amekagua Kituo cha Mlandizi ambao kwa sasa kina Uwezo wa MVA 120 Ameeleza Serikali ipo kwenye mpango wa kuongeza Transfoma mbili zenye Uwezo wa MVA 180 na kufikia MVA 300 kwa kituo hicho Ameeleza gharama za maboresho hayo yatagharimu Shilingi Bilioni 20.

Aidha, Kunenge amekagua Ujenzi wa Kituo cha kupooza Umeme cha Luguruni (Luguruni substation) Ameeleza kuwa kituo hicho kina Transfoma mbili za MVA 90 kila mmoja na Mradi huo umegharimu Shilingi Bilioni 15.5, Ujenzi umefikia Asilimia 97 na tayari wamewasha na kunganisha line ikiwemo kwenye maeneo ya Viwanda TAMCO kibaha.

Ameeleza miradi mingine ni inayoendelea ni pamoja Mradi wa Kituo Mkuranga, Mradi kituo Eneo la Viwanda Zegereni (Bilioni 25) na Kituo Eneo la Viwanda Kwala.

Ameeleza kuwa Miradi hii yote itapelekea upatikanaji wa umeme kuwa wa uhakika na kutakuboresha huduma za kijamii na kukuza uchumi wa nchi kupitia wawekezaji.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.