• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Dkt Jakaya Kikwete Kuwa Mgani rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya Uwekezaji na Biashara Pwani :RC Kunenge

Posted on: October 5th, 2022

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt.Jakaya Kikwete,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Wiki ya maonesho ya Kimataifa ya uwekezaji na Biashara yatakayofanyika katika viwanja vya stendi ya zamani vilivyopo Mailimoja Kibaha Mjini.

Maonesho hayo yataanza Oktoba 5 na kumalizika Oktoba 10 ambapo wadau mbalimbali watashiriki ikiwa sehemu ya kuonyesha bidhaa zinazozalishwa katika viwanda vilivyopo Mkoani Pwani.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe  Abubakari Kunenge,ametoa taarifa hiyo leo awakati akizungumza na Waandishi wa habari katika viwanja hivyo ikiwa sehemu ya kuhamasisha wawekezaji,Wafanyabiashara,wadau na wananchi kushiriki maonesho hayo.

Kunenge ,amesema kuwa maandalizi ya shughuli nzima mpaka sasa yamekamilika kwa asilimia 95 na kwamba bado wadau wanakaribishwa kushiriki kwakuwa fursa ipo wazi kwa ajili yao na kwamba mpaka sasa tayari wawekezaji 200 wamethibitisha kushiriki.

"Wiki ya maonesho ya Uwekezaji na Biashara yataanza kesho Oktoba 5 lakini ufunguzi mi utafanyika Oktoba 6 na mgeni wetu rasmi ni Rais Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete," amesema Kunenge

Aidha Kunenge ,amesema kuwa katika wiki hiyo yapo mambo mbalimbali yatafanyika ikiwemo Kongamano kubwa la wawekezaji litakalofanyika Oktoba 10 katika Chuo Cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kilichopo Kibaha kwa Mfipa.

Amesema, Kongamano hilo litahudhuriwa na wawekezaji mbalimbali ,wataalamu wa kiuchumi, viongozi wa Serikali na taasisi wezeshi huku akiwaomba wananchi wajitokeze kushiriki kongamano hilo ili wapate fursa ya kujua maeneo ya uwekezaji yaliyopo katika Mkoa .

Amesema,lengo kubwa la maonesho hayo ni kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa akifanyakazi kubwa kwa ajili ya kuweka mazingira mazuri ya wawekezaji.

Kunenge, ameongeza kuwa kupitia maonesho hayo wananchi watapata fursa ya kujionea bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya Mkoa wa Pwani,kupata fursa mpya za uwekezaji , wazalishaji. kupata masoko ya uhakika,kujua teknolojia za kisasa.

"Pamoja na faida kuwa nyingi katika maonesho haya ,lakini pia itakuwa fursa kubwa ya kuona jinsi gani sera nzuri na jitihada za Rais zinavyoweza kutoa majibu juu ya masuala ya uwekezaji hapa nchini ,amesema Kunenge

Ameongeza kuwa , maonesho hayo yataonyesha namna ambavyo wawekezaji wa Mkoa wa Pwani walivyopiga hatua ikiwa ni sehemu ya mafanikio ya nchi katika uwekezaji.

Amesema, maonesho hayo yanatoa fursa kwa wafanyabiashara wadogo na kwamba amewataka wakazi wa Mkoa wa Pwani kutumia fursa hiyo kufanya biashara ili wajiongezee kipato.

Hatahivyo, Kunenge amewaomba wananchi wajitokeze kwa wingi katika maonesho hayo ili kuona kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777