• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Geraruma ahimiza uhifadhi wa Miradi ya Maji

Posted on: May 3rd, 2022

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahil Geraruma, ameiasa jamii kulinda na kuhifadhi tanki la Kisima na kujiepusha na jambo lolote linaloweza kuleta madhara kwa watumiaji.

Akizindua mradi wa tanki la maji katika Zahanati ya 830 KJ Kibiti Mkoani Pwani ambao umekamilka kwa asilimia 100 na ulio tayari kutoa huduma ndani ya jamii inayoizunguka, Geraruma amepongeza usimamizi mzuri katika kutekeleza mradi huo.

Awali akisoma taarifa ya mradi, Kapt. Yusuph Matias Masalu wa 830 KJ Kibiti alisema kikosi kilianza jengo la muda la Zahanati Lakini baadae makao makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kutumia fedha za maendeleo ya mwaka wa fedha 2020-2021.

“Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia ufadhili wa Shirika la “global A Network” linalotoa msaada wa kuchimba visima virefu Kibiti kwa kushirikiana na Wakala wa maji safi na usafi wa Mazingira Vijijini ( RUWASA) wameweza kutekeleza mradi huo pamoja na visima vingine 19 vyenye thamani ya sh. milioni 380 wilayani hapa”. Alisema Kapt. Masalu.

Kuhusu thamani ya ujenzi wa mradi huo, Masalu alibainisha kuwa wafadhili hao na RUWASA walifanya utafiti wa maji chini ya ardhi na kuchimba kisima hicho ,chenye uwezo wa kuzalisha maji lita 11,300 kwa saa na urefu wa mita 93 kilichogharimu milioni 20 .

Alieleza, kikosi hicho kimetumia milioni 15.1 Kwa Ajili ya kupima wingi, ubora wa maji, kujenga mnara, kununua tanki la kuhifadhi maji lenye ujazo wa lita 10,000, kununua na kufunga pampu kwa Lengo la kutoa huduma ya maji.

Mkuu wa wilaya ya Kibiti, kanal Ahmed Abbas alisema mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani humo utapitia miradi 15 yenye thamani ya sh.milioni 809.3 na kukimbizwa km.110 kwenye kata tano.

Miradi mingine iliyopitiwa ni Pamoja na ujenzi wa vivuko vitatu kwenye bonde la Nyarwanza, ujenzi wa madarasa matatu kwa fedha za Uviko 19, mradi wa madarasa matatu katika Shule ya Sekondari Mtawanya kwa fedha za mapato ya ndanimradi wa kituo cha afya Mjawa na shamba la kilimo Cha korosho na ufuta lenye ukubwa wa hekari 70.

Mwenge wa Uhuru Mei 3 mwaka huu ,unatarajiwa kupokelewa wilaya ya Mkuranga.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.