• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Halmashauri ya Bagamoyo yapata Hati safi

Posted on: July 2nd, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imefanikiwa kwa mara nyingine tena kupata hati safi (Unqualified Audit Opinion) kwa Mwaka wa fedha 2017/2018, ikiwa ni mara ya tatu mfululizo kwa Halmashauri ya Bagamoyo kupata hati safi.

Hayo yamesemwa na Mkaguzi Mkuu Mkoa wa Pwani Bi. Mwajuma Mohamedi alipokuwa anawasilisha taarifa ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Bagamoyo.

Bi. Mwajuma ameleza kuwa  Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, kwa mujibu wa Katiba ya mwaka 1977 (Rev 2005) ibara ya 143 na sheria ya ukaguzi wa umma namba 11 ya 2918 kifungu cha 10(1) ni jukumu la la Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kufanya ukaguzi wa taarifa za mapato na matumizi ya fedha za umma Serikali Kuu,Serikali za Mitaa,Idara na mashirika ya umma.

 Pia alisema kuwa , baada ya ukaguzi huo anatakiwa kutoa matokeo ya ukaguzi na mapendekezo kutokana na ukaguzi huo na hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na menejimenti zilizopo kwa mujibu wa sheria.

 "Katika ukaguzi uliofanyika kwa mwaka wa fedha 2017/2018, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imepata hati safi na kufanya halmashauri hii kuendelea kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo, kwani kwa Mwaka 2017/2018, mwaka 2016/2017 na mwaka 2015/2016 Bagamoyo imepata hati safi ya Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)”.alisema Mwajuma.

Nae kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Theresia Mmbando akizungumza katika mkutano huo maalum wa baraza la Waheshimiwa Madiwani amesema, ni jambo la kujivunia kwa Halmashauri na Mkoa wa Pwani kwa Bagamoyo kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo, na kusisitiza kwamba maelekezo na mapendekezo yaliyotolewa na Mkaaguzi na mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG) katika ripoti yake iliyowasilishwa katika mkutano huo, yafanyiwe kazi ili kuondoa kasoro ndogondogo zilizoonekana kipindi ukaguzi ulipofanyika, ili Halmashauri iendelee kupata hati safi miaka ijayo.

Pia ametumia fursa hiyo, kuwaasa Waheshimiwa Madiwani na Wataalam wa Halamshauri kuhakikisha wanasimamia vyema ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kuongeza ubunifu katika kuanzisha vyanzo vipya kwa kutilia mkazo uandishi wa maandiko ya miradi ya kimkakati inayofadhiliwa na Serikali kuu kwa sasa, itakayoisaidia Halmashauri kuongeza mapato yake ya ndani.

Akifunga Mkutano huo wa Baraza la Waheshimiwa madiwani, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Said Ngatipura amesema, watahakikisha wanasimamia mapendekezo yote yaliyotolewa kwenye ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Serikali na kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kuhakikisha Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo inaendelea kufanya vizuri.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.