• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Imarisheni Vyanzo vya Mapato -RC Kunenge

Posted on: June 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amewataka Watendaji wa Halmashauri zote za mkoa huo kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato ili kuisaidia serikali kutekeleza majukumu yake.

Kunenge ametoa agizo hilo leo Juni 20, 2023 kwenye vikao vya kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali - CAG vilivyofanyika kwa nyakati tofauti katika Wilaya za Mkuranga na Kisarawe mkoani humo.

Amesema suala hilo ni utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuitaka Mikoa yote nchini kumpatia taarifa ya ukusanyaji wa mapato kila wiki hivyo akaelekeza kuwa ili kufanikisha agizo hilo, kasi ya ukusanyaji wa mapato lazima iongezeke.

“Mwaka jana Mkoa wetu ulikuwa wa tatu kwa ukusanyaji wa mapato ambapo tulifikia asilimia 108, sasa mwaka huu nataka tuwe wa kwanza tuondoke kwenye nafasi hii na ili tufanikiwe lazima tushirikiane tubuni na kuanzisha vyanzo mbalimbali vya mapato ambavyo vitaupaisha mkoa wetu kwa sababu mahitaji ya wananchi yanaongezeka na huduma za serikali pia zinahitajika hivyo ni muhimu kuwa na vyanzo vya mapato vya kutosha,” amesema Kunenge alipokuwa Mkuranga.

Amebainisha kuwa kwa sasa Halmashauri za mkoa huo huku akitaja baadhi na asilimia za ukusanyaji wa mapato walizofikia hadi sasa kwenye mabano kuwa ni Rufiji (104), Kibiti (79), Mkuranga (91) na Kisarawe (76) na akazitaka kuongeza kasi.

Katika hatua nyingine akiwa Kisarawe Kunenge amewataka viongozi wa Halmashauri kutenga na kuanisha maeneo yote ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji.

Pia amewaelekeza kufanya mapitio ya vyanzo vya mapato ili kuziboresha zenye tija na kuanzisha vipya bila kuleta usumbufu wa aina yoyote yenye bughdha kwa wananchi.

“Fanyeni uchambuzi na kubaini vyanzo vilivyo imara mviongezee nguvu ya kuviimarisha ili viweze kuongeza mapato lakini visiwe sumbufu kwa kusababisha kero kwa wananchi,” alielekeza na kutahadharish

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.