• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Jafo akabidhi milioni 50 za Dk. Pango kwa Walimu wa Tumbi sekondari

Posted on: April 14th, 2023

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dk.Selemani Jafo amekabidhi sh. Milion 50 kwa walimu wa shule ya Sekondari ya Tumbi iliyopo Kibaha ikiwa ni kutimiza ahadi iliyotolewa na Makamu wa Rais Dk.Philip Mpango.

Dk. Mpango alitoa ahadi hiyo hivi karibuni alipofika katika shule hiyo kupanda miti ambapo alifurahishwa na matokeo ya kidato cha nne baada ya wanafunzi 40 kupata ufaulu wa daraja la kwanza.

Akizungumza wakati wa kukabidhi fedha hizo Dk Jafo amesema fedha hizo zilizotolewa na Dk Mpango zinatakiwa kuongeza motisha zaidi kwa walimu katika ufundishaji na kuwezesha wanafunzi wengi zaidi kufaulu.

Amesema Tumbi ni shule ya kwanza hapa nchini walimu kupatiwa zawadi kutokana na wanafunzi kufanya vizuri badala yake fedha zimekuwa zikitolewa na serikali kwa ajili ya maboresho ya shule miundombinu na vifaa na si kwa walimu kama ilivyotokea.

"Fedha hizi hamkupata kwa upendeleo mnastahili kupata kutokana na kazi mlioifanya kupata wanafunzi 40 waliofaulu kwa daraja la kwanza kwa idadi hii ni kubwa sana ongezeni juhudi zaidi mulitangaze Shirika la Elimu na Mkoa" amesema Jafo.

Nae Katibu Tawala wa mkoa huo Rashid Mchatta kwa upande wake amewapongeza walimu hao kwa kazi wanayoifanya na kuinua ufaulu kwa mkoa huo.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha Anathe Nnko ameishukuru Serikali kwa namna inavyoendelea kutoa fedha kwa ajili ya kukarabati majengo kwenye shule zilizo chini ya Shirika hilo.

Mkuu wa shule hiyo Fidelis Haule amemshukuru Makamu wa Rais Dk Mpango kwa kutekeleza ahadi kwa walimu ambayo aliahidi.

Akitoa taarifa ya Shule Haule amesema shule hiyo ni shule ya kawaida ola imekuwa ikifanya vizuri kwa kuongezaka kwa ufaulu wa daraja la kwanza ambapo kwa miaka minne mfilulizo ambapo kwa mwaka 2019 daraja la kwanza walikuwa wanfunzi 8, mwaka. 2020 daraja la kwanza wanafunzi 23, mwaka 2021 daraja la kwanza wanafunzi 28 na mwaka 2022 daraja la kwanza wanafunzi 40.

Haule amesema shule hiyo imeendelea kuwa ya pili kimkoa kwa shule za Serikali ikitanguliwa na Shule ya Sekondari ya wavulana Kibaha kwa miaka mitano mfululizo kuanzia 2018

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77