• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Jafo akabidhi milioni 50 za Dk. Pango kwa Walimu wa Tumbi sekondari

Posted on: April 14th, 2023

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dk.Selemani Jafo amekabidhi sh. Milion 50 kwa walimu wa shule ya Sekondari ya Tumbi iliyopo Kibaha ikiwa ni kutimiza ahadi iliyotolewa na Makamu wa Rais Dk.Philip Mpango.

Dk. Mpango alitoa ahadi hiyo hivi karibuni alipofika katika shule hiyo kupanda miti ambapo alifurahishwa na matokeo ya kidato cha nne baada ya wanafunzi 40 kupata ufaulu wa daraja la kwanza.

Akizungumza wakati wa kukabidhi fedha hizo Dk Jafo amesema fedha hizo zilizotolewa na Dk Mpango zinatakiwa kuongeza motisha zaidi kwa walimu katika ufundishaji na kuwezesha wanafunzi wengi zaidi kufaulu.

Amesema Tumbi ni shule ya kwanza hapa nchini walimu kupatiwa zawadi kutokana na wanafunzi kufanya vizuri badala yake fedha zimekuwa zikitolewa na serikali kwa ajili ya maboresho ya shule miundombinu na vifaa na si kwa walimu kama ilivyotokea.

"Fedha hizi hamkupata kwa upendeleo mnastahili kupata kutokana na kazi mlioifanya kupata wanafunzi 40 waliofaulu kwa daraja la kwanza kwa idadi hii ni kubwa sana ongezeni juhudi zaidi mulitangaze Shirika la Elimu na Mkoa" amesema Jafo.

Nae Katibu Tawala wa mkoa huo Rashid Mchatta kwa upande wake amewapongeza walimu hao kwa kazi wanayoifanya na kuinua ufaulu kwa mkoa huo.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha Anathe Nnko ameishukuru Serikali kwa namna inavyoendelea kutoa fedha kwa ajili ya kukarabati majengo kwenye shule zilizo chini ya Shirika hilo.

Mkuu wa shule hiyo Fidelis Haule amemshukuru Makamu wa Rais Dk Mpango kwa kutekeleza ahadi kwa walimu ambayo aliahidi.

Akitoa taarifa ya Shule Haule amesema shule hiyo ni shule ya kawaida ola imekuwa ikifanya vizuri kwa kuongezaka kwa ufaulu wa daraja la kwanza ambapo kwa miaka minne mfilulizo ambapo kwa mwaka 2019 daraja la kwanza walikuwa wanfunzi 8, mwaka. 2020 daraja la kwanza wanafunzi 23, mwaka 2021 daraja la kwanza wanafunzi 28 na mwaka 2022 daraja la kwanza wanafunzi 40.

Haule amesema shule hiyo imeendelea kuwa ya pili kimkoa kwa shule za Serikali ikitanguliwa na Shule ya Sekondari ya wavulana Kibaha kwa miaka mitano mfululizo kuanzia 2018

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.