• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kamati ya Bunge TAMISEMI yapongeza Utekelezaji wa Miradi Rufiji

Posted on: February 8th, 2025

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imefanya ziara ya siku mbili mkoani Pwani kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Katika siku ya kwanza ya ziara hiyo, tarehe 8 Februari 2025, kamati hiyo ilitembelea Halmashauri ya Mji wa Rufiji na kukagua miradi mbalimbali ya afya na elimu, ambapo iliipongeza kwa usimamizi mzuri na utekelezaji wake kwa viwango vya juu vilivyowekwa na Bunge.

Akitoa pongezi hizo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mheshimiwa Justine Nyamoga (Mb), alisema kuwa miradi inayotekelezwa Rufiji, ikiwemo ukarabati wa Hospitali ya Wilaya ya Rufiji na ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bibi Titi Mohamed, imetekelezwa kwa ubora wa hali ya juu ukilinganisha na miradi mingine katika baadhi ya mikoa nchini.

Mwenyekiti huyo, akiwa ameambatana na wajumbe wa kamati, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mheshimiwa Zainab Katimba, pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Rashid Mchatta, walitembelea na kukagua maendeleo ya miradi mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa jengo la utawala, soko jipya, pamoja na shule maalum ya sayansi ya wasichana ya Bibi Titi Mohamed.

Tumekuja kukagua lakini pia tumejifunza mbinu bora za usimamizi wa miradi. Tumetembelea miji mingi kukagua miradi, lakini hapa Rufiji tumekutana na mfano mzuri wa usimamizi wenye viwango vya juu,” alisema Mheshimiwa Nyamoga.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mheshimiwa Zainab Katimba, alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutenga zaidi ya trilioni moja kuboresha huduma za afya, ambazo zimewezesha ujenzi wa zahanati, vituo vya afya, hospitali, pamoja na ununuzi wa vifaa tiba. Aliongeza kuwa katika sekta ya elimu, serikali imetenga zaidi ya trilioni 1.2 kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa BOOST,unaolenga kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani na kusaidia watoto wanaotembea umbali mrefu kufuata shule.

Aidha, Kamati ilihimiza kukamilishwa kwa haraka kwa baadhi ya miundombinu iliyopo katika hatua za mwisho, ikiwemo Mfumo wa Nishati Safi ya Kupikia katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bibi Titi Mohamed, uwekaji wa mafeni katika bwalo la chakula, pamoja na ujenzi wa jengo la huduma ya mama na mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.