• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kanal Kolombo azindua mnada wa ufuta, atoa onyo kali dhidi ya utoroshaji wa mazao

Posted on: June 12th, 2025

 Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Mhe. KanaliJoseph Kolombo, leo amezindua rasmi mnada wa kwanza wa zao la ufuta kwa msimuwa mwaka 2025, uliofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti, mkoaniPwani.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Juni 12Wilayani Kibiti, Kanali Kolombo amewatakawakulima kuzingatia taratibu na kanuni za kiserikali katika uuzaji wa mazaoyao, huku akisisitiza umuhimu wa kupeleka mazao kwenye maghala rasmi kama hatuaya kulinda maslahi ya mkulima na Halmashauri.

“Katika kipindi hiki chamavuno, baadhi ya watu wamekuwa wakihangaika kuuza mazao bila kufuatautaratibu. Utoroshaji wa mazao siyo tu ni kinyume cha sheria, bali piaunalinyima eneo husika mapato halali na kudhoofisha takwimu za maendeleo zaWilaya na Mkoa,” amesema Kanali Kolombo.

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amezielekeza taasisi za fedhakuhakikisha zinatoa huduma kwa weledi ili kuwawezesha wakulima kufungua nakutumia akaunti kwa urahisi, jambo litakalosaidia kuimarisha mzunguko wa fedhavijijini. Pia amewataka wanunuzi wa mazao kuhakikisha wanalipa fedha zawakulima kwa wakati ili kuwawezesha kufidia gharama za uzalishaji.

Katika mnada huo wa kwanza, bei ya kilo moja ya ufuta ilifikiaShilingi 2,414.49. Mnada mwingine unatarajiwa kufanyika tarehe 19 Juni, 2025katika eneo la Kingoma AMCOS, Wilaya ya Mkuranga.

Mnada huu unatajwa kuwa hatua muhimu katika kuinua uchumi wawakulima wa Mkoa wa Pwani kupitia uuzaji wa mazao kwa mfumo rasmi unaolindahaki na mapato ya pande zote.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanal Kolombo azindua mnada wa ufuta, atoa onyo kali dhidi ya utoroshaji wa mazao

    June 12, 2025
  • Pwani waanza kampeni ya utoaji elimu kuhusu malezi na makuzi bora ya Watoto

    June 10, 2025
  • Madaktari Bingwa 64 wawasili Pwani kwa Huduma maalum chini Mpango wa Rais Dkt Samia

    June 09, 2025
  • RC Pwani apokea msaada wa Ng’ombe 300 na Mbuzi 2,000 kwa Ajili ya Ibada ya Iddi kutoka Taasisi ya IDDef ya Uturuki.

    June 06, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.