• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kanda ya Mashariki kuongoza kwa uwekezaji nchini -Kunenge

Posted on: August 1st, 2023

Mikoa ya Pwani, Dar es salaam, Morogoro na Tanga inayounda Kanda ya Mashariki imedhamiria kuwa ya mfano katika Uwekezaji kutokana na uwepo wa fursa nyingi kwenye sekta za kilimo, mifugo na uvuvi nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya wakuu wa mikoa hiyo ijumaa Julai 28, 2024 kuhusu ufunguzi wa Maonesho ya Nane nane Kanda ya hiyo yatakayofanyika kwenye Viwanja vya nanenane mjini Morogoro kati ya Agosti 1-8 mwaka huu, Mkuu wa mkoa wa Pwani mhe.Abubakari Kunenge alieleza kuwa maonesho hayo yatakayofunguliwa na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda yana dhamira ya kuwezesha jamii kuongeza tija kutokana na maarifa mapya watakayoyapata ili kuinua sekta hizo kwa kutumia mbinu, mifumo na teknolojia mpya za kisasa.

Alisema, maonyesho hayo ni ya 30 tangu kuundwa kwa Kanda hiyo mwaka 1993 na kuwa mwaka huu wa 2023 wadau wamejitokeza kwa wingi na tayari 589 sawa na ongezeko la asilimia 22 kutoka wadau 476 wa mwaka 2022 wameshajisasijili kushiriki.

Kunenge alieleza kuwa, kauli mbinu ya mwaka huu inasema "Vijana na Wanawake ni Msingi imara wa Mifumo endelevu ya Chakula," kwani mchango wa vijana na wanawake unatambuliwa katika kuimarisha chakula na matumizi yake.

"Kauli mbinu hii inaendana na jitihada za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ambae anahimiza kuongeza uzalishaji wa chakula kulisha Bara letu na Dunia.

Kunenge aliwaomba wananchi wajitokeze kwa wingi katika maonesho hayo ili waweze kujionea teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji na tija kupitia Ufugaji, Uvuvi na Kilimo.

"Kanda ya Mashariki ni ya kiuchumi, inayokuwa kwa kasi na mafanikio hayo yote yanawezekana, na yanaakisi matokeo ya kila siku na kuongeza tija," alifafanua Kunenge.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.