• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kanda ya Mashariki ni kanda ya Mfano katika Uwekezaji -RC Kunenge

Posted on: August 5th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe Abubakar Kunenge amsema kuwa kanda ya mashariki imedhamilia kuwa kanda ya mfano katika maenesho ya nane nane kwani kanda hiyo imekuwa na bahati na kuwa na fursa  nyingi katika seketa mbaklimbli 

Hayo ameyasama  Agosti 4, 2022  wakati akitoa salama za ufunguzi wa maonesho hayo ya nanenane  ambayo yalifunguliwa  na Mhe Mizengo Kayanza Peter Pinda Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya Nne.

Akitoa salaam za Mkoa Kunenge ameeleza Kanda hiyo ya Mashariki imedhamiria kuwa Kanda ya Mfano katika Uwekezaji mbalimbali kwani kuna Fursa nyingi za Uwekezaji katika Sekta ya Mifugo, Uvuvi, Madini, Viwanda, Utalii, Kilimo n.k.

Ameeleza kuwa kanda hiyo imedhamiria kuzalisha kwa Tija na inatazama mnyororo wa Thamani wa Uwekezaji wote na kufanya Matumizi bora ya Ardhi ili kupata Tija.

Amemshukuru Mhe Pinda kwa kubali kuwa Mgeni Rasmi kwenye Ufunguzi huo

"Tumekupendeza uwe Mgeni Rasmi kwa kuwa wewe ni Mkulima Mzoefu na tunajua wakati ukitembelea mabanda hutaangalia tu bali utatoa maelekezo na mapendekezo katika kuboresha Maonesho yetu haya" Ameeleza Kunenge.

Akizungumza kwenye Maonesho hayo Mhe Pinda amesema Kanda hiyo ya Mashariki ni kanda inayokuwa kwa kasi ni kanda ya Kiuchumi. Ameeleza kanda hiyo ina Miundombinu Muhimu ikiwemo Reli ya Mwendokasi, Barbara za Kisasa, Viwanda Vingi na Vyuo vya Elimu vyingi.

Ametaja Mikoa hiyo ya Kanda ya Mashariki ina Idadi kubwa ya wakazi zaid Milioni 13 na kusema ni Soko kubwa ambalo likitumika Vizuri litatusogeza mbele kama Nchi.

Pinda Ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kuendelea kukuza kilimo kwa kuongeza Bajeti za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ambapo Ameeleza mwaka 2021 kilimo kilichangia Asilimia 61 ya Ajira. "Ni muhimu kusisitiza haya ili tunapokuja kwenye Maonesho ya Nane nane tupate Maarifa, Teknolojia na ujuzi ili tunaporudi kwenye Maeneo yetu tukayatumie" Ameeleza Pinda.

Maonesho hayo ya nanenene na maonesho ya 29 ambayo yanahusisha mikoa ya Dar es salaam,.Pwani, Tanga  na Morogoro ambapo wilaya zote 27 na Halmashauri 34 zimeshiriki pamoja na taasisis mbalimbali.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77