• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kanda ya Mashariki ni kanda ya Mfano katika Uwekezaji -RC Kunenge

Posted on: August 5th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe Abubakar Kunenge amsema kuwa kanda ya mashariki imedhamilia kuwa kanda ya mfano katika maenesho ya nane nane kwani kanda hiyo imekuwa na bahati na kuwa na fursa  nyingi katika seketa mbaklimbli 

Hayo ameyasama  Agosti 4, 2022  wakati akitoa salama za ufunguzi wa maonesho hayo ya nanenane  ambayo yalifunguliwa  na Mhe Mizengo Kayanza Peter Pinda Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya Nne.

Akitoa salaam za Mkoa Kunenge ameeleza Kanda hiyo ya Mashariki imedhamiria kuwa Kanda ya Mfano katika Uwekezaji mbalimbali kwani kuna Fursa nyingi za Uwekezaji katika Sekta ya Mifugo, Uvuvi, Madini, Viwanda, Utalii, Kilimo n.k.

Ameeleza kuwa kanda hiyo imedhamiria kuzalisha kwa Tija na inatazama mnyororo wa Thamani wa Uwekezaji wote na kufanya Matumizi bora ya Ardhi ili kupata Tija.

Amemshukuru Mhe Pinda kwa kubali kuwa Mgeni Rasmi kwenye Ufunguzi huo

"Tumekupendeza uwe Mgeni Rasmi kwa kuwa wewe ni Mkulima Mzoefu na tunajua wakati ukitembelea mabanda hutaangalia tu bali utatoa maelekezo na mapendekezo katika kuboresha Maonesho yetu haya" Ameeleza Kunenge.

Akizungumza kwenye Maonesho hayo Mhe Pinda amesema Kanda hiyo ya Mashariki ni kanda inayokuwa kwa kasi ni kanda ya Kiuchumi. Ameeleza kanda hiyo ina Miundombinu Muhimu ikiwemo Reli ya Mwendokasi, Barbara za Kisasa, Viwanda Vingi na Vyuo vya Elimu vyingi.

Ametaja Mikoa hiyo ya Kanda ya Mashariki ina Idadi kubwa ya wakazi zaid Milioni 13 na kusema ni Soko kubwa ambalo likitumika Vizuri litatusogeza mbele kama Nchi.

Pinda Ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kuendelea kukuza kilimo kwa kuongeza Bajeti za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ambapo Ameeleza mwaka 2021 kilimo kilichangia Asilimia 61 ya Ajira. "Ni muhimu kusisitiza haya ili tunapokuja kwenye Maonesho ya Nane nane tupate Maarifa, Teknolojia na ujuzi ili tunaporudi kwenye Maeneo yetu tukayatumie" Ameeleza Pinda.

Maonesho hayo ya nanenene na maonesho ya 29 ambayo yanahusisha mikoa ya Dar es salaam,.Pwani, Tanga  na Morogoro ambapo wilaya zote 27 na Halmashauri 34 zimeshiriki pamoja na taasisis mbalimbali.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.