• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Aanika Mikakati ya Kuongeza Mapato na Usimamizi wa Miradi Mafia.

Posted on: August 14th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, ameanza ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mafia leo, Agosti 14, 2025, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kutembelea Halmashauri zote za Mkoa wa Pwani.  Lengo la ziara hiyo ni kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kufanya vikao kazi na watumishi wa Halmashauri husika.

Akiwa katika ziara hiyo, Mnyema amewataka viongozi wa Halmashauri ya Mafia kujifunza kutoka maeneo mengine yenye mazingira yanayofanana kijografia lakini yamepiga hatua kubwa kiuchumi, ili kuboresha ubunifu wa miradi na kuongeza mapato ya Halmashauri.

Aidha, amesisitiza umuhimu wa kukamilisha miradi kwa wakati, kuepuka uzembe katika usimamizi na kuhakikisha utunzaji wa vifaa hususan vya afya, ili kuongeza tija kwa wananchi.

“Serikali inajitahidi sana katika kampeni ya kupunguza vifo vya mama na mtoto, hivyo ni wajibu wetu kuunga mkono juhudi hizo kwa kujituma, kutimiza majukumu yetu na kutunza vifaa tulivyonavyo,” alisema Mnyema.

Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Mhe. Petro Magoti, amewataka watendaji kufanya kazi kwa bidii na kujituma hususan katika usimamizi wa miradi ya maendeleo, ili iwanufaishe wananchi na kuunga mkono juhudi za Serikali katika kukuza maendeleo ya Taifa.

Ameongeza kuwa kuanzia Jumamosi atarejea wilayani humo kufuatilia maendeleo ya miradi inayoendelea kukamilishwa pamoja na utekelezaji wa maelekezo yaliyotolewa na Katibu Tawala.

“Hatucheki na mtu kwenye miradi. Kuanzia Jumamosi nitakuwa hapa kuhakikisha mambo yote yaliyoanishwa yanatekelezwa,” alisema Mhe. Magoti.

Katika ziara hiyo, Katibu Tawala alikagua miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa soko la Kilindoni lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 700, ujenzi wa jengo la wazazi katika Hospitali ya Wilaya lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 500, pamoja na maboresho ya majengo ya Shule ya Msingi Utende yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 85.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88