• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AUPONGEZA MKOA WA PWANI KWA KUTEKELEZA UJUMBE WA MWENGE KITAIFA KWA VITENDO

Posted on: June 10th, 2017

Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa, Amor Hamad Amor ameupongeza Mkoa wa Pwani kwa kusheheni viwanda mbalimbali na kuiomba jamii ivitumie kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.

Aidha amewataka wawekezaji kutoa ajira pale inapostahili na kushiriki huduma za kijamii kwenye maeneo yao husika ili wananchi waweze kunufaika nao.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Pwani kwenda Mkoani Morogoro, eneo la Bwawani, Amor alisema wameagizwa kufanya kazi hivyo kwa Mkoa wa Pwani wameiona na wamefanyakazi .

Alieleza, Mkoa huu una viwanda vya kutosha ambapo vinaendana na dhamira ya Serikali ya awamu ya tano ya kuelekea kwenye uchumi wa viwanda.

"Tumejionea baadhi ya viwanda vinavyoendelea na ujenzi na vilivyokamilika ikiwemo kiwanda cha vipodozi, kiwanda kinachotengeneza dawa za viuadudu vya malaria, kiwanda cha kusindika matunda cha Sayona, pia vya kuchakata mihogo ,vya kutengeneza vigae ambavyo vyote vitasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua mapato ya Halmashauri, Wilaya, Mkoa na Taifa" alisema Amor .

Amor, hakusita kuwataka vijana na makundi yote kufanya kazi na kuachana na tabia ya kukaa bila kazi kimazoea.

Alisema ni wakati wa kujiunga hata kimakundi kuanzisha viwanda vidogo na shughuli za kijasiriamali ili kujikomboa na hali ya umaskini.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Eng. Evarist W. Ndikilo, akimkabidhi Mwenge wa Uhuru  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe  Dkt. Kebwe Steven Kebwe, alisema Mkoa wake umejipanga kuwa ukanda wa viwanda kwani kitaifa kuna viwanda vikubwa 304 huku kimkoa vikiwa 84 na vilivobakia ndio mikoa mingine.

"Mkoa wa Pwani unatekeleza kwa vitendo ujumbe wa Mwenge wa Uhuru “Shiriki kukuza uchumi wa viwanda kwa maendeleo ya nchi yetu” ambapo kwa sasa una viwanda 264, Kati ya hivyo viwanda vikubwa ni 84 na vidogo 186 na kila Halmashauri imetenga maeneo kwa ajili ya uwekezaji na kuna mazingira mazuri kwa wawekezaji,” alisema Mhe. Ndikilo.

Mhandisi Ndikilo, alipokea Mwenge wa Uhuru kutoka Dar es salaam, June mosi ambapo umetembelea halmashauri tisa, miradi 81 yenye thamani ya sh.bil 225.1. Kati ya miradi hiyo ,27 imewekewa mawe ya msingi, na miradi 27 imezinduliwa, miradi minne(4)  imefunguliwa na miradi 25 imekaguliwa, miradi hiyo yote imechangiwa kwa pamoja na wananchi, Serikali Kuu, Halmashauri na wahisani wa ndani na nje .

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.