• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kivuko cha MV Kilindoni -Hapa kazi tu Chakamilika na kukjabidhiwa Wilayani Mafia tayari kwa Matumizi.

Posted on: February 2nd, 2021


Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo leo Februari Mosi 2021 ameungana na Wananchi wa Wilaya ya Mafia kukipokea Kivuko kipya MV Kilindoni kitakachofanya safari zake kati ya Mafia na Nyamisati Wilayani Kibiti.

Akizungumza na Hadhara hiyo Ndikilo amesema anamwakilisha Waziri wa Ujenzi Dkt Leonard Shamuriho ambaye anamajukumu mengine, akisoma Hotuba ya Mhe Waziri Ndikilo amesema Kivuko hicho kimenunuliwa kwa gharama ya Shilingi Bilion 5.3 fedha zote zikiwa zimetolewa na Serikali, Ujenzi wa kivuko hicho umefanywa na Songoro Marine Transport Boatyard Ltd ya I Mwanza. Amesema Serikali imedhamiria kuhakikisha Vivuko vyote vinakuwa vya Uhakika na Salama kwa matumizi.

Akitoa Salaam zake kama Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Ndikilo amesema;

Anamshukuru Mhe Rais kwa kutekeleza ahadi yake aliyoitoa mwaka 2015 wakati alipomtuma makamu wa Rais kuomba kura. "Asante Mhe Rais Bingwa wa kufufua mambo mazito yaliyoonekana kushindikana"

Amesema Kivuko hiki ni ukombozi Mkubwa kwa Wanachi Wanyonge." Siyo kila Mwanachi alikuwa na Uwezo wa kutumia usafiri wa Anga".

Ameongeza kuwa Wilaya ya Mafia inakwenda kufunguka zaidi kiuchumi, Shughuli za biashara zitaongezeka mauzo ya Nazi, Samaki na Korosho. Amesema Bidhaa zitapungua Bei, kama vile Vifaa vya Ujenzi na Mafuta ya Dizeli na Petroli.

Ndikilo amesema kupitia kivuko hicho wanatarajia uwekezaji Mkubwa Mafia kufanyika,ametoa wito kwa Wawekezaji ndani na Nje ya Nchi kuchangamkia Fursa za Uwekezaji ambazo tayari zimeaniashwa kwenye Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa huo mbao ulizinduliwa 2019.

Ndikilo ametoa wito kwa Wananchi kuchangamkia Fursa za kiuchumi za uwepo wa Kivuko hicho, ametaja Fursa hizo ni usambazaji wa Chakula ndani ya kivuko, Ajira za Mabaharia, huduma ya kufanya Usafi wa Kivuko, Shughuli za ubebaji Mizigo, Ulinzi n

Kivuko hicho kitakuwa na Uwezo wa kubeba Tan 100 sawa na abiria 200, Magari 10 na mzigo.

Aidha, ameitaka  TEMESA kutoa Mwongozo Nauli na kubandika kwenye mbao za matangazo.

Ameeleza kuwa Kivuko cha mtu Binafsi kolichopo kitaendelea kufanya kazi kama kawaida,

Amewaeleza Wanachi ahadi ya CCM ya Ujenzi wa Kivuko kingine iliyopo kwenye Ilani ya Uchaguzi 2020-25.

"Tunatarajia ndani ya kipindi cha miaka mitano ijayo kitajengwa kivuko kingine kwa ajili ya Mafia"


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.