Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kiwanda cha Goodwill na Sapphire watoa msaada kwa wahanga wa changamoto ya mafuriko Kibiti na Rifiji

Posted on: April 23rd, 2024

Kiwanda cha marumaru cha Goodwill pamoja na kiwanda cha kutengeneza vioo cha Sapphire -Mkiu  Mkuranga Mkoa wa Pwani ,kimetoa misaada mbalimbali kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Rufiji .

Kati ya misaada hiyo ni pamoja na mifuko 70 ya unga wa sembe yenye kilo 50 kila mmoja ,mifuko 10 ya mchele,na mifuko kumi ya sabuni.

Akipokea misaada hiyo kutoka kwa Ofisa raslimali watu wa kiwanda cha Goodwill na Sapphire Jerry Malandu, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta aliwashukuru Goodwill na Sapphire kwa michango yao na mkoa umepokea.

Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, nimepokea misaada hii,na tunawashukuru Goodwill na Sapphire Kwa hiki mlichochangia “

Akikabidhi misaada hiyo kwa niaba ya uongozi wa viwanda hivyo Meneja Rasilimali watu Jerry alieleza, wameshiriki kutoa msaada kwa wananchi wa Rufiji baada ya kuguswa na changamoto za mafuriko yanayowakabili.

“Tumeleta kidogo tulichopata kulingana na biashara tunazozalisha na kuuza za uuzaji wa tiles na vioo, na kurudisha kidogo kwa Jamii, tumeleta unga wa mahindi kg70, mchele viroba 10, sukari na sabuni viroba 20” alifafanua Jerry.

Wadau mbalimbali wanasisitizwa kuendelea kujitokeza kutoa misaada kwa wahanga wa mafuriko yaliyowakumba wananchi kwenye baadhi ya maeneo, mafuriko ambayo yametokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali mkoani Pwani.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kanal Kolombo azindua mnada wa ufuta, atoa onyo kali dhidi ya utoroshaji wa mazao

    June 12, 2025
  • Pwani waanza kampeni ya utoaji elimu kuhusu malezi na makuzi bora ya Watoto

    June 10, 2025
  • Madaktari Bingwa 64 wawasili Pwani kwa Huduma maalum chini Mpango wa Rais Dkt Samia

    June 09, 2025
  • RC Pwani apokea msaada wa Ng’ombe 300 na Mbuzi 2,000 kwa Ajili ya Ibada ya Iddi kutoka Taasisi ya IDDef ya Uturuki.

    June 06, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.