• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kunenge Aagiza ujenzi ufanyike Usiku na Mchana

Posted on: September 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameifanya ziara ya siku moja jana katika Wilaya ya Rufiji na kukagua maendeleo ya ujenzi wa bwalo la chakula katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bibi Titi na ujenzi wa Barabara ya Nyamwage-Utete. Ziara hiyo inalenga kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa viwango Bora.

Akiwa katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Bibi Titi, Kunenge amewataka wakandarasi kuongeza kasi ya ujenzi na kuhakikisha ubora unaozingatiwa. Ameeleza kuwa mkandarasi anatakiwa kumaliza ujenzi wa bwalo ifikapo Septemba 30, ili wanafunzi waanze kulitumia mara moja.

Ameagiza kuwa indaliwe ratiba upya pamoja na kuongeza wafanyakazi na kufanya Shughuli zaidi ya moja pale inavyowezekana ili kumaliza ujenzi kwa wakati.

Pia, ameagiza kwamba kama kuna changamoto za kiufundi, taarifa itolewe mapema ili kutafuta suluhisho.

Kunenge alisisitiza, "Tunataka bwalo hili likamilike kwa wakati. Tumewaambia wakandarasi waongeze kasi, kwani haturidhishwi na hali ya sasa. Tarehe 30 Septemba lazima iwe mwisho wa kazi."

Katika ukaguzi wa Barabara ya Nyamwage-Utete yenye urefu wa kilomita 33.7, inayojengwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 43, Kunenge alionya kuwa mradi huo lazima ukamilike kwa wakati. Barabara hiyo inajengwa na mkandarasi M/s China Railway Seventh Group (CRSG), na mkuu wa mkoa aliwataka kuhakikisha ubora na muda wa mradi unazingatiwa ili kuepuka malalamiko kutoka kwa wananchi

"Ujenzi ukamilike kwa wakati nataka Mhe Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akija hapa wananchi waseme asante na sio kutoa malalamiko" alisema Kunenge.

Awali, Mhandisi Joseph Chuwa kutoka TANROADS alieleza kuwa mradi huo umefikia asilimia 5.01, sawa na thamani ya shilingi bilioni 1.9, huku miezi 14 ya utekelezaji ikiwa imepita.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200