• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge aongoza kikoa cha kupitia taarifa ya Pato la Mkoa (GDP).

Posted on: June 3rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, ameongoza kikao kazi muhimu cha wataalamu kilicholenga kupokea na kupitia Taarifa ya Pato la Mkoa (GDP) pamoja na wasifu wa Mkoa huo.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani na kushirikisha wataalamu kutoka taasisi mbalimbali za umma na wadau wa maendeleo.

Akizungumza katika kikao hicho, Mheshimiwa Kunenge amesema kuwa Mkoa wa Pwani ni mkoa wa kimkakati unaochangia kwa kiasi kikubwa katika kukuza uchumi wa taifa kutokana na nafasi yake kijiografia na uwepo wa shughuli nyingi za kiuchumi.

“Mkoa wa Pwani una nafasi muhimu katika maendeleo ya kiuchumi ya nchi yetu. Hivyo ni lazima taarifa za pato la mkoa zitumike vizuri kupanga na kutekeleza mipango yenye tija,” alisisitiza Kunenge.

Katika kikao hicho, wataalamu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) waliwasilisha taarifa rasmi ya pato la Mkoa, ambayo ilijadiliwa kwa kina na kupokelewa na wajumbe wa kikao hicho.

Aidha, katika hatua nyingine, Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa wataalamu wa uchumi kutoka Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri zote kufanya kazi kwa weledi, kushirikiana kwa karibu, na kuimarisha shughuli za utafiti na maendeleo (R&D), ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi. Pia amesisitiza umuhimu wa kuwapatia watumishi vifaa stahiki na mafunzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Mipango wa Halmashauri, wawakilishi wa benki, pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Umma kutoka Mkoa wa Pwani.



Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200