• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kunenge Asisitiza Uwekezaji katika Elimu.

Posted on: March 14th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, amewataka wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kisarawe na Shule ya Msingi Madubwike kuwekeza zaidi katika elimu ili kufanikisha ndoto zao, kupata nafasi za uongozi siku za usoni, na kuinua hali ya maisha ya familia zao kiuchumi.

Mheshimiwa Kunenge alitoa wito huo leo wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari Kisarawe, pamoja na ujenzi wa Shule ya Msingi na Shule ya Awali ya Madubwike, zilizopo wilayani Kisarawe, mkoani Pwani.

Alibainisha kuwa katika kipindi cha uongozi wa Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu na kujenga shule mpya. Kwa Mkoa wa Pwani pekee, shule 42 za sekondari na 48 za msingi zimejengwa ili kuboresha upatikanaji wa elimu.

Mhe. Rais anataka watoto wasome, ndiyo maana Serikali inaendelea kuboresha na kujenga miundombinu ya elimu. Urithi bora kabisa kwa mtoto ni elimu,” alisema Mheshimiwa Kunenge.

Aidha, alisisitiza umuhimu wa bidii na kujituma katika masomo, akieleza kuwa mafanikio ya wanafunzi yanategemea juhudi zao katika kujifunza na kutumia elimu kusaidia jamii na familia zao.

Hakuna mtu asiye na akili. Sote tuna uwezo wa kujifunza na kuelewa mambo muhimu kwa familia na taifa letu. Viongozi, akiwemo Mheshimiwa Rais, pamoja na wazazi wenu, wanajitahidi kuhakikisha mnasoma, hivyo mnapaswa kuwaheshimu na kutimiza wajibu wenu,” aliongeza Kunenge.

Pamoja na hayo, Mkuu wa Mkoa aliwahamasisha viongozi na wananchi kushiriki kikamilifu katika maandalizi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru, ambapo uzinduzi wake utafanyika Aprili 2, 2025, katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha, wilayani Kibaha, mkoani Pwani.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77