• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kunenge awataka Wahitimu wa JKT kuwa Wazalendo wa Taifa

Posted on: September 14th, 2022

Mkuu wa Mkoa Pwani , alhaj Abubakari Kunenge amewaasa wahitimu wa JKT Kuwa wazalendo wa Taifa lao pamoja na  kuzingatia nidhamu, utii, uaminifu, uhodari kwa kuzingatia kiapo kinavyowataka.


Aidha amewataka vijana kuwa makini na teknolojia na kutumia ujuzi,elimu na mafunzo waliyoyapata vizuri kwa ajili ya kujenga Taifa na kuinua uchumi.


Kunenge alitoa Rai hiyo ,alipokwenda kufunga mafunzo ya JKT  kwa mujibu  ya oparesheni Jenerali Venance Mabeyo katika viwanja vya Ruvu JKT  832  .


Awali alipata wasaa wa kuzindua jengo la  wodi ya wanaume na wanawake  Ruvu JkT ,maabara ya  kutotoleshea vifaranga  vya samaki katika kambi ya Ruvu JKT.


Kunenge amepongeza uongozi mzima kwa ujasiliamali  kwani wahitimu wanapata fursa ya kujifunza elimu, ujasiliamali na uzalendo.


Mafunzo hayo yalianza na Jumla ya vijana 3,342 Juni 2022, na kukaa kambini miezi mitatu ya mafunzo ,kati ya vijana  hao 3,326 wamehitimu mafunzo yao  vijana 16 hawakufanikiwa kuhitimu kwa sababu mbalimbali ikiwemo utovu wa nidhamu na wengine kutoroka.









Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200