• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Maafisa Biashara tumikeni kuvutia wawekezaji

Posted on: June 27th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe Abubakar Kunenge amewataka Maafisa Biashara wa Mikoa ya Pwani, Dar es salaam, Lindi na Mtwara kuhakikisha Jitihada za Mhe Rais za Kuvutia Wawekezaji zinafikiwa.

"Mhe Rais anavutia Wawekezaji na ameshasema nini kifanyike jinsi gani hayo yanatekelezeka Maafisa Biashara mnapaswa kufanya, Vinara wa Utekelezaji ni ninyi Maafisa Biashara tuone Uwepo wenu (Visibility). Lazima muelewe matarajio ya Nchi ili muyatimize.

Ameyasema hayo Juni 27 2022 wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea Uwezo Maafisa Biashara wa Mikoa ya Pwani, Dar es salaam, Mtwara na Lindi.

Amewaeleza kuwa Serikali imeamua kuanzisha Idara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Ofisi ya Rais TAMISEMI ili kuongeza ufanisi wa Sekta hiyo.

Amewataka kuhakikisha wanatoa huduma Bora kwa Wawekezaji na Wafanyabiashara

"Lazima tutoe huduma bora, lazima tujue wateja wetu ni Wafanyabiashara, huduma bora inabadilika mara kwa mara kwa Wafanyabiashara" Ameeleza Kunenge.

Amewaeleza kuwa Tanzania tupo eneo la Kimkakati Strategic position na kila Afisa Biashara anatakiwa kujua Fursa za Uwekezaji zilizopo kwenye Eneo lake.

Amewataka kusoma na kutumia Takwimu za Taasisi mbalimbali katika Kushauri na Kufanya Maamuzi "Wawekezaji wanapokuja manawapa Takwimu gani? Amehoji Kunenge-

"Wajibu wenu kuhakikisha Spidi ya Teknolojia mnakwenda nayo mkishindwa mtakuwa hamfai Maafisa Biashara mnatakiwa msome kila kitu" amesistiza Kunenge

Ameeleza kuwa utafiti unaonesha Maafisa Biashara wanatumika zaidi kama wakusanya Mapato badala ya kuwa wasaidizi na washauri wa Wafanyabiashara na Wawekezaji. Amewataka baada ya mafunzo hayo kubadilisha fikra na mitazamo yao na kuwa watoa huduma na msaada kwa Wafanyabiashara.

Naye Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA Godfrey Nyaisa Amewataka Maafisa Biashara hao kutokuwa maafisa Biashara wa Ofisini badala yake kuwasadia na Kushauri Wafanyabiashara. Aidha amekemea tabia ya baadhi ya Maafisa Biashara kufoji Leseni za Biashara kund B na kuwaeleza kuwa sasa wameandaa mfumo ambapo leseni zote zitatolewa kwa njia ya mtandao.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.