• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Madaktari Bingwa 63 waweka kambi ya siku 7 Mkoani Pwani

Posted on: October 15th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutambua umuhimu wa afya kwa Watanzania, hasa kupitia mpango wa kupeleka huduma za kibingwa kwenye mikoa na halmashauri zote nchini (Bingwa Bobezi).

Kunenge alitoa shukrani hizo leo wakati wa hafla fupi ya kuwapokea madaktari bingwa 63 iliyofanyika ofisini kwake. Madaktari hao watatoa huduma za kibingwa kwa halmashauri zote tisa za Mkoa wa Pwani kwa muda wa siku saba, kuanzia tarehe 14 hadi 20 Oktoba. Kila halmashauri itapokea wataalamu sita kutoka fani tofauti, isipokuwa Halmashauri ya Mji wa Kibaha ambayo itapokea wataalamu saba, akiwemo mbobezi wa mifupa.

Aidha, Kunenge alimwagiza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Dkt. Kusirye Ukio, kutumia fursa hii kutathmini mahitaji makubwa ya huduma za afya ili kurahisisha ununuzi wa vifaa tiba muhimu, na kujua changamoto kubwa zinazowakabili wananchi wa mkoa huo katika suala la afya. Hatua hii itasaidia kuweka mipango thabiti ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Kwa upande wake, Dkt. Kusirye Ukio alisema ujio huu wa madaktari bingwa ni wa awamu ya pili, ambapo awamu ya kwanza iliweza kuhudumia wananchi 2,517 wenye matatizo mbalimbali. Awamu hii ya pili itahusisha wataalamu mabingwa wa upasuaji wa mfumo wa mkojo, magonjwa ya kina mama na afya ya uzazi, upasuaji, afya ya kinywa na meno, usingizi, na mifupa.

Aliongeza kuwa lengo kuu la kupeleka wataalamu hao ni kuimarisha afya za Watanzania kwa kuwapatia matibabu ya kibingwa, na pia kuhakikisha watumishi wa vituo vya afya vya msingi wanapata mafunzo na uzoefu kutoka kwa mabingwa hao. Hii itasaidia kuboresha huduma na kupunguza rufaa ambazo zinaweza kushughulikiwa kwenye vituo vya afya vya mkoa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200