• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Madaktari Bingwa 64 wawasili Pwani kwa Huduma maalum chini Mpango wa Rais Dkt Samia

Posted on: June 9th, 2025

Timu ya madaktari bingwa 64 walioko chini ya mpango maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imewasili mkoani Pwani kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa katika halmashauri zote za mkoa huo, pamoja na kubadilishana ujuzi wa kitaalamu na watumishi wa afya walioko katika vituo mbalimbali.

Mratibu wa timu hiyo kutoka Wizara ya Afya, Bw. Joachim Masunga, amesema kuwa ujio wa madaktari hao, ambao ni wa mara ya tatu mkoani humo, unalenga kupunguza changamoto zinazowakabili wakazi wa Pwani ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakilazimika kusafiri umbali mrefu hadi Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ili kupata huduma za kibingwa.“Kwa kuwaleta madaktari hawa karibu na wananchi, tunalenga kupunguza gharama na usumbufu wa usafiri wa wagonjwa pamoja na kuimarisha huduma za afya katika mkoa huu,” alisema Masunga.

Madaktari hao watakuwa mkoani Pwani kwa kipindi cha siku tano na wamesambazwa katika hospitali za halmashauri zote tisa za mkoa, ili kuhakikisha huduma zinawafikia wananchi kwa usawa na kwa wakati.

Akizungumza baada ya kuwapokea madaktari hao, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Dkt. Kusirie Ukio, alisema kuwa ujio wa timu hiyo ni hatua muhimu katika kuboresha huduma za afya na kupunguza idadi ya rufaa zinazotumwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

“Kwa muda mrefu tumekuwa tukilazimika kuwapeleka wagonjwa Dar es Salaam kwa ajili ya huduma za kibingwa. Ujio wa madaktari hawa utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza rufaa hizo na kuleta unafuu kwa wagonjwa na familia zao,” alisema Dkt. Ukio.

Mpango huu ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita kuhakikisha kuwa huduma bora za afya zinapatikana hadi ngazi ya msingi, na kwamba kila Mtanzania anapata huduma stahiki bila vikwazo vya kijiografia au kiuchumi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200