• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yaonyesha Mafanikio ya Serikali kwa Vitendo – RC Kunenge.

Posted on: August 2nd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Mwenyekiti wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki, Mhe. Abubakar Kunenge, amesema Maonesho ya mwaka huu ni ya kipekee kwa kuwa yameonyesha  kwa vitendo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa pamoja na Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hususan katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi.

Mhe. Kunenge ameyasema hayo leo, Agosti 2, 2025, akitoa salumu za Mkoa wa Dare salaam, Pwani na Tanga wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mkoani Morogoro.

Ameeleza kuwa maonesho haya yanaakisi utekelezaji wa vipaumbele vya Serikali chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuongeza tija na ufanisi kwa wananchi kupitia sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi. Aidha, amebainisha kuwa Serikali inaendelea kuboresha miundombinu na kuhamasisha matumizi ya teknolojia za kisasa kwa ajili ya kilimo chenye tija.

Akitoa mfano, Mhe. Kunenge amesema uzinduzi wa Reli ya Kisasa ya Mizigo (SGR) uliofanyika Julai 31, 2025 kule Kwala, mkoani Pwani na kuongozwa na Mhe. Rais, ni fursa muhimu kwa wakulima kwani utarahisisha usafirishaji wa mazao kwa ufanisi mkubwa, jambo ambalo ni kipaumbele cha Serikali katika kuimarisha uchumi wa kilimo.

Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanajumuisha mikoa minne ambayo ni Dar es Salaam, Pwani, Morogoro na Tanga, huku yakiendeshwa chini ya kaulimbiu isemayo: “Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.”

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Maonesho ya Nanenane 2025 ni ya Kipekee, Yamepiga Hatua Kubwa: Pinda.

    August 02, 2025
  • Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yaonyesha Mafanikio ya Serikali kwa Vitendo – RC Kunenge.

    August 02, 2025
  • Viwanda vyaongezeka Pwani, Kunenge amshukuru Rais Samia.

    August 01, 2025
  • Rais Samiaatoa Siku tano Kuhakikisha Bandari kavu ya Kwala inatoa huduma kamili kwa Watumiaji

    July 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.