• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 zazinduliwa Pwani

Posted on: February 28th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametangaza kuwa mkoa huo utakuwa mwenyeji wa uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2025. Hafla hiyo itafanyika tarehe 2 Aprili 2025 katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha.

Kunenge alitoa taarifa hiyo leo 28 Aprili wakati wa kikao na waandishi wa habari kilichofanyika ofisini kwake, Kibaha Mjini. Alibainisha kuwa maandalizi yanaendelea vizuri na akawahimiza wadau na wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika tukio hilo muhimu la kitaifa.

Akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kunenge alisema kuwa heshima kubwa imetolewa kwa Mkoa wa Pwani kwa kuchaguliwa kuwa mwenyeji wa uzinduzi huo. Alisema Rais Samia alitangaza uamuzi huo wakati wa kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa na kumbukumbu ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere mnamo Oktoba 14, 2024, jijini Mwanza.

Rais Samia alitangaza kuwa mwaka 2025 Mwenge wa Uhuru utawashwa Pwani. Serikali na wananchi tumepokea kwa heshima kubwa, na sasa tunaendelea na maandalizi ya mwisho, alisema Kunenge.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa alibainisha kuwa hafla hiyo itawahusisha viongozi wa kitaifa, wageni kutoka ndani na nje ya nchi, huku ikiambatana na burudani mbalimbali. Pia, Mwenge wa Uhuru utapita katika halmashauri tisa za Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuzindua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi ya maendeleo.

Kunenge alihimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika fursa za kiuchumi na kibiashara zitakazopatikana wakati wa mbio za Mwenge huo. Aliongeza kuwa viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha vilichaguliwa kwa uzinduzi huo kwa kuwa ni eneo linalofikika kirahisi, na maandalizi yote yamepangwa kwa umakini kuhakikisha tukio linafanikiwa.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.