• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mbio za Mwenge wa Uhuru kuzindua Miradi ya Sh, Trulioni 4.4 Pwani

Posted on: May 15th, 2023

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 zinatarajia kukagua, kuweka mawe ya msingi, kuzindua na kufungua jumla ya Miradi 99 ya maendeleo yenye thamani ya sh. trilioni 4.4 mkoani Pwani.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ametoa taarifa hiyo leo Mei 15, 2023 alipokabidhiwa Mwenge wa Uhuru na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatma Mwassa, eneo la Ubena Halmashauri ya Chalinze wilayani Bagamoyo.

Kunenge amesema Mwenge wa uhuru utakimbizwa zaidi ya kilomita 1000 kukagua miradi mbalimbali katika Wilaya saba na Halmashauri tisa za Mkoa wa Pwani ambapo kati ya miradi hiyo 99, tisa itafunguliwa, 15 itazinduliwa,20 itawekewa mawe ya msingi na 55 itakaguliwa.

Ameongeza kuwa Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2023 yenye kauli mbiu isemayo "Tunza mazingira, okoa vyanzo vya Maji kwa ustawi wa viumbe hai," itasaidia kulinda na kutunza mazingira na kuufanya mkoa huo kuendelea kuwa wa kijani.

“Katika kuunga mkono jitihada za Serikali kutunza mazingira, hadi kufikia mwezi Aprili mwaka 2023 Mkoa wa Pwani umepanda miti milioni saba sawa na asilimia 57.5 katika maeneo mbalimbali, lengo letu ni kupanda miti milioni 13 kwa mwaka huu,” amesema Kunenge na akaongeza kuwa hatua hiyo inalenga uboreshaji wa mazingira na kutekeleza matakwa ya sheria ya mazingira ya mwaka 2004 ambayo yanataka shughuli zote zinazofanyika zizingatie tathmini ya athari za mazingira.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amesema tayari mikakati mbalimbali ya utunzaji mazingira imefanyika ikiwemo, kufanya doria kuzuia uharibifu wa vyanzo vya maji vinavyotokana na shughuli za kibinadamu kilimo, ufugaji na uchomaji miti hovyo, uhamasishaji na utoaji wa elimu juu ya umuhimu wa kutunza mazingira na kuzindua kampeni ya matumizi ya nishati mbadala ambayo yatazalisha fursa nyingi za kiuchumi

Mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2023 zinakimbizwa na timu ya watu sita wakiongozwa na Abdallah Shaibu Kaim na unatarajiwa kuhitimishwa Octoba 14 mwaka huu mkoani Manyara.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.