• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Miradi yenye Thamani ya Zaid ya Miliion 747 yafanyiwa kazi na Mwenge wa Uhuru Bagamoyo

Posted on: April 8th, 2025

 Mwenge wa Uhuru umeendelea na Mbio zake Wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani, ambapo umezindua na kukagua jumla ya miradi sita yenye thamani ya shilingi milioni 747.5, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali katika kuimarisha maendeleo ya jamii kupitia sekta mbalimbali.

Miongoni mwa miradi hiyo ni uzinduzi wa boti ya doria na ukaguzi baharini katika soko la samaki, mradi wenye thamani ya milioni 40.603. Mradi huu unalenga kudhibiti upotevu wa mapato yatokanayo na uvuvi, kuzuia uvuvi haramu na biashara za magendo baharini, pamoja na kuimarisha usimamizi wa raslimali za uvuvi.

Mradi mwingine uliozinduliwa ni wa ununuzi wa gari na vifaa vya uzoaji taka kwa kikundi cha vijana cha SAFISHA Mazingira, kilichopo kata ya Nianjema, uliogharimu shilingi milioni 150.600. Lengo ni kuboresha usafi wa mazingira na kuwajengea vijana uwezo wa kujiajiri.

Pia, Mwenge wa Uhuru uliweka jiwe la msingi katika mradi wa upanuzi wa tanki la maji Kidomole, mradi ulioanzishwa mwaka 2024 na kugharimu shilingi milioni 334.240. Mradi huu umetekelezwa kupitia mfumo wa kielektroniki wa manunuzi (NeST) na unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi.

Aidha, jiwe la msingi liliwekwa katika mradi wa ujenzi wa boksi na kalvati barabara ya Kimalang’ombe - Makofia, wenye thamani ya shilingi milioni 121.951, unaotekelezwa na TARURA, kwa lengo la kuboresha miundombinu ya usafiri na usafirishaji katika maeneo ya vijijini.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa miradi hiyo, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ali Ussi, alisema ameridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kuagiza wahusika kuitunza na kuisimamia ipasavyo ili ilete tija kwa sasa na vizazi vijavyo. Alisisitiza kuwa serikali inatumia fedha nyingi kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya aina hiyo kwa manufaa ya wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, alipokea Mwenge wa Uhuru tarehe 8 Aprili 2025 kutoka Wilaya ya Mafia, na kueleza kuwa katika mapokezi hayo, miradi sita imepitiwa ambapo mmoja umewekewa jiwe la msingi na mingine mitano kuzinduliwa.



Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.