• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mkoa wa Pwani , TSN watia saini makubaliano ya Maonesho ya Viwanda "Kubwa Kuliko"

Posted on: September 4th, 2019

Mkoa wa Pwani umesaini makubaliano ya pamoja na Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard Newspapers (TSN) kuratibu na kusimamia maonesho ya Viwanda na Biashara yaliyopangwa kuanza Oktoba 1 hadi 7 Mwaka huu kwenye uwanja wa CCM ujulikanao kama Sabasaba Mkuza-Kibaha.

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kusaini makubaliano hayo, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ameelezea malengo ya maonesho hayo aliyoyataja kama “kubwa kuliko” kuwa ni kutanabaisha wana Pwani, watanzania na Dunia kuhusu hatua ambayo mkoa umefikia katika ujenzi wa Viwanda, kuwezesha wenye viwanda kupata Masoko ya bidhaa kwa kuwakutanisha na wanunuzi ikiwa ni pamoja na kuvutia wawekezaji wapya.

“Malengo ya Kongamano la uwekezaji ni kuonesha fursa za uwekezaji zilizopo kwenye Sekta mbalimbali kama Kilimo, Mifuko, Uvuvi, utalii na kwenye huduma zingine” alisema mhandisi Ndikilo.

Mbali na TSN na TANTRADE, Mhandisi Ndikilo aliwataja wadau wengine kuwa ni waonesha bidhaa mbalimbali, taasisi wezeshi ambazo alitaja baadhi kuwa ni TIC, Brela, TBS, NIDA, NSSF, NEMC, TRA, SIDO, Zimamoto na TANESCO, viongozi wa kitaifa na wa serikali, Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara za kisekta.

Wadau wengine waliotajwa ni Wawakilishi wa mashirika ya kimataifa, mabalozi Wanaowakilisha mataifa yao hapa nchini, viongozi wa Mikoa jirani na taasisi zingine mbalimbali pamoja na wananchi ambao ametumia fursa hiyo kuwahamasisha kufika na kupata taarifa za upatikanaji wa bidhaa mbalimbali za viwandani.

Makubaliano hayo yalisainiwa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani ambapo Mkoa uliwakilishwa na Katibu Tawala Mkoa Theresia Mhando na TSN iliwakilishwa na Afisa Masoko na Mauzo Januarius Maganga.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.