• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mkoa wa Pwani waanza maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya mtoto wa Afrika .

Posted on: May 30th, 2025

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani imeanza maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika kwa kufanya kikao maalum cha maandalizi kilichofanyika leo katika ukumbi wa rasilimali (Resource Center) uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Kibaha Pwani.

Mgeni rasmi katika kikao hicho alikuwa Katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu, Edina   Katalaiya.

Wajumbe wa kikao hicho walikubaliana kuwa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika kwa ngazi ya mkoa mwaka huu kitafanyika katika Halmashauri ya Mji Kibaha.

Akizungumza katika kikao hicho, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Pwani, Bi. Roseline Kimaro, alisema kuwa maadhimisho hayo yatatanguliwa na mikutano mbalimbali itakayofanyika kwenye maeneo yenye mikusanyiko ya watu, kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii kuhusu haki za watoto na umuhimu wa kuwalinda kwa kushirikiana na wadau, Viongozi wa dini pamoja na Waandishi wa Habari.

Kikao hicho kilihudhuriwa na wawakilishi kutoka taasisi zisizo za kiserikali (NGOs), wadau mbalimbali wa maendeleo kutoka mkoa wa Pwani, Dawati la Jinsia la Police Mkoa, pamoja na baadhi ya watumishi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Lengo kuu la kikao hicho lilikuwa kuweka mpango mkakati wa pamoja kuhakikisha maadhimisho hayo yanafanyika kwa mafanikio makubwa.

Siku ya Mtoto wa Afrika (African Child Day) huadhimishwa kila mwaka tarehe 16 Juni tangu mwaka 1991, ikiwa ni kumbukumbu ya mchango wa watoto wa mji wa Soweto, Afrika Kusini, waliopaza sauti wakidai elimu bora mnamo mwaka 1976. Katika maandamano hayo ya kihistoria, mamia ya watoto walipigwa risasi na kuuawa, huku zaidi ya watoto 1,000 wakijeruhiwa.

Maadhimisho haya yanalenga kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa elimu bora kwa watoto, utekelezaji wa haki zao za msingi, na kuenzi ujasiri wa watoto wa Soweto waliopigania haki zao katika mazingira magumu.



Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Naibu Katibu Mkk OR- TAMISEMI azuru Mkoa Pwani kwa ukaguzi wa Huduma za Afya

    June 03, 2025
  • RC Kunenge aongoza kikoa cha kupitia taarifa ya Pato la Mkoa (GDP).

    June 03, 2025
  • Mkoa wa Pwani waanza maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya mtoto wa Afrika .

    May 30, 2025
  • DC Komba awahimiza Wananchi na Watumishi wa Mkoa wa Pwani Kutekeleza kwa Vitendo maono ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.