• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Atoa Wito kwa Wananchi kuhudhu Uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala

Posted on: July 30th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amesema maandalizi ya hafla ya uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala pamoja na miradi mingine mikubwa ya kimkakati yamekamilika, huku akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi kushiriki tukio hilo muhimu.

Akizungumza na waandishi wa habari Julai 30, 2025 katika eneo la tukio, Kunenge alisema uzinduzi huo utafanyika Julai 31, 2025, na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Ameeleza kuwa katika Kongani ya Viwanda ya Kwala eneo linalotajwa kuwa miongoni mwa maeneo makubwa ya viwanda Afrika Mashariki .

Ameeleza kuwa Rais Samia atazindua viwanda saba ambavyo tayari vimekamilika na kuanza uzalishaji, pamoja na kutembelea viwanda vitano vilivyopo katika hatua mbalimbali za ujenzi.

Aidha, Kunenge amesema kuwa safari rasmi ya treni ya mizigo kupitia reli ya kisasa ya SGR itazinduliwa katika Kituo Kikuu cha kuunganishia mabehewa (Marchalling Yard) na karakana maalum ya matengenezo ya treni hizo, zote zikiwa ndani ya eneo la Kwala.

Akizungumzia Bandari Kavu ya Kwala, Kunenge alisema mradi huo utaongeza ufanisi mkubwa katika shughuli za usafirishaji wa mizigo kwa kuhudumia wastani wa makasha 823 kwa siku, sawa na zaidi ya makasha 300,000 kwa mwaka. Hatua hii inatarajiwa kupunguza kwa zaidi ya asilimia 30 msongamano katika Bandari ya Dar es Salaam.

Katika tukio hilo pia, Rais anatarajiwa kupokea mabehewa 160, ambapo mabehewa 100 ni mapya yaliyonunuliwa na Serikali kwa ajili ya reli ya MGR, mabehewa 20 yamefanyiwa ukarabati, na mabehewa mengine 40 yametolewa na Shirika la Chakula Duniani (WFP).

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Mkoa wa Pwani Atoa Wito kwa Wananchi kuhudhu Uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala

    July 30, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Pwani afunga mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi Kibaha.

    July 27, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Pwani Afanya Ziara Kiwandani Bagamoyo, Apongeza Uwekezaji na Ushirikishwaji wa Vijana katika Uundaji wa Magari ya FAW.

    July 25, 2025
  • Rais Samia kuzindua Bandari Kavu ya Kwala na miradi mikubwa ya miundombinu Mkoani Pwani.

    July 22, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.