• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mnzava aiagiza STAMICO kuongeza kasi ya UJenzi ili ukamilike

Posted on: May 3rd, 2024

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Mzava, amekagua ujenzi wa mradi wa kiwanda cha makaa ya mawe, kata ya Visegese wilayani Kisarawe, Mkoani Pwani ambao unatekelezwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), ambapo hadi kukamilika kwake utagharimu sh. bilioni 2.4.

Imeelezwa kuwa kati ya fedha hiyo bilioni 1.2 ni kwa ajili ya kununua mtambo na bilioni 1.2 ujenzi na vifaa, unatakiwa kukamilika kabla ya Mei 30, 2024 ambapo umefikia kwenye asilimia 60 bado asilimia 40 na utazalisha tani 20 kwa saa za mkaa mbadala.

 Maelekezo  hayo yametolewa leo Mei 3,2024 baada ya kukagua kiwanda hicho , Mzava aliwaomba STAMICO kuongeza kasi ya ujenzi ili ukamilike ndani ya siku 27 zilizobakia.

"Agenda yetu ya msingi kabisa katika Mwenge wa Uhuru 2024 kuhusu Uhifadhi wa mazingira na uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Uhifadhi wa mazingira, tunavyokwenda na mabadiliko ya kutoka kwenye nishati isiyo rafiki" alifafanua Mzava.

Nae kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Dkt Seleman Jafo alieleza mradi huo ni muhimu katika kutunza mazingira.

"Tunapoteza hekta zaidi ya laki nne, hii ni changamoto ndio maana Rais Dkt Samia katika mkutano wake alipokuwa na akinamama alihimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia,halikadhalika Makamu wa Rais Philip Mpango wakati wa maadhimisho ya STAMICO aliwaelekeza waanze mpango wa kutengeneza nishati mbadala"

Akipokea Mwenge wa Uhuru Mei 3 mwaka huu, eneo la Kiluvya Madukani, ukitokea Kibaha,Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Fatma Nyangasa, alieleza miradi iliyopitiwa ni 7 yenye thamani ya sh. bilioni 3.4.

Kati ya miradi hiyo  ni Mradi wa Ujenzi wa Box karavat kata ya Makurunge, mradi wa kupanda miti na kukagua zoezi la upandaji miti shule ya Sekondari Kisarawe na kuzindua jengo la mama na mtoto kata ya Masaki.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.