• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Mwenge wa Uhuru 2019 wazindua Mradi wa maji wqenye thamani ya Million 359,9 Kibaha.

Posted on: July 29th, 2019

Mwenge Wa Uhuru 2019 ,umezindua mradi wa maji katika kata ya Muheza,Mjini Kibaha ,Mkoani Pwani wenye thamani ya milioni 359.5, ambao chanzo chake cha maji ikiwa ni mto Ruvu kupitia DAWASA,huku ukitarajiwa kunufaisha wakazi 2,541.

Mhandisi wa maji halmashauri ya mji huo,Grace Lyimo alimweleza kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa,Mzee Mkongea Ali kuwa ,mradi huo ni mkombozi kwa wakazi hao.

Aidha alisema kuwa mradi huo ni kati ya miradi iliyopo chini ya programu ya Taifa ya maji na usafi wa mazingira vijijini ambapo ulichelewa kukamilika kutokana na uhaba wa fedha.

Grace alieleza kuwa mradi huo ,ulisanifiwa na kusimamiwa na mhandisi mshauri M/S Netwas (T) Ltd wa Dar es salaam mwaka 2009/2010 na Halmashauri na jamii ilishirikishwa katika hatua zote za kuibua mradi mpaka usanifu wake.

"Ujenzi ulianza mwaka wa fedha 2013/2014 chini ya mkandarasi M/S Federick company Ltd wa Dar es salaam kwa gharama ya sh.mil 359.577.570 "

Pia alibainisha kuwa ,kutokana na uhaba wa fedha kutoka serikali kuu ,mradi huu ulisimama kwa muda wa takriban miaka 2 mwaka 2015/2016 na kuendelea tena na ujenzi mwanzoni mwa mwaka 2017 na kukamilika mwezi agosti 2018.

"Mradi huo ulikuwa na vituo vya jamii vya kuchotea maji Tisa ambavyo vilikabidhiwa kwa uongozi wa watumia maji Muheza kwa ajili ya usimamizi.Hii iliweza kuongeza vituo viwili na kufanya jumla ya vituo vya jamii kuwa 11 na wateja binafsi 240 pamoja na kupeleka maji mtaa jirani wa Lumumba"

"Baada ya mradi kutanuka na maeneo mengine kupata huduma uongozi wa jumuiya ya watumiaji maji uliomba mradi ukabidhiwe DAWASA ili kusaidia huduma kuwa endelevu na kupunguza gharama za huduma ya maji"alifafanua Grace.

Mkongea aliukubali mradi huo na kusema maji ni haki ya kila mtu ,na aliiomba jamii kutunza vyanzo vyake ili miundombinu ya maji iweze kudumu.

Alisema, serikali inatekeleza kauli mbiu ya KUMTUA MAMA NDOO YA MAJI KICHWANI na kutekeleza sera ya maji ya mwaka 2002 ya kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama katika umbali usiozidi mita 400 kila upande kwa kila kaya pamoja na utunzaji wa vyanzo vya maji.

Awali mkuu wa wilaya ya Kibaha, Assumpter Mshama alisema ,mwenge wa Uhuru umepitia miradi 11 ,yenye thamani ya sh .bilioni 2.464.Assumpter alielezea, mradi mmoja umezinduliwa,mmoja umefunguliwa,miwili imewekwa mawe ya msingi na miradi saba imetembelewa

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77