• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mwenge wa Uhuru umezindua Huduma ya upasuaji Kibaha

Posted on: April 9th, 2025

Mwenge wa Uhuru umezindua huduma ya upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Kibaha ambayo inakwenda kuondoa adha ya wananchi ya kusafiri umbali wa km 40 kufuata huduma hiyo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi.

Akitoa taarifa hiyo   Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dk. Christopher Ngendello ameeleza kwamba Hospitali hiyo ilipokea sh Miln 300 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya Ununuzi wa vifaa tiba vya uchunguzi vya upasuaji.

Alisema vifaa vilivyonunuliwa ni pamoja na Mashine ya usingizi, vitanda 30, Mashine ya kemia, magodoro 30, , makabati ya dawa, jokofi za kuhifadhia damu viti vya kuchangia damu na vifaa vya upasuaji.

Dk.Ngendelo alisema huduma hiyo imeanza kutolewa mwezi Machi mwaka huu na hadi kufikia April 8 wagonjwa 16 wamefikia kupata huduma hiyo

""Kutolewa kwa huduma ya upasuaji katika Hospitali ya Wilaya kumesaidia kusogezwa kwa huduma karibu na wananchi pia inepunguza gharama ya sh.miln 24 hadi 30 zilizokuwa zinatumika kununua mafuta na matengenezo ya magari ya kubebea wagonjwa," alisema.

Akizindua mradi huo Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ismail Ussi aliipongeza Serikali kwa namna inavyowajali wananchi wa hali ya chini na wahali ya juu katika kuwasogezea huduma za afya karibu na wanakoishi.

Ussi aliwataka Wananchi kutunza majengo ya Hospitali hiyo hiyo huku akiwasisitiza kuyatumia kupata huduma ambazo zinatolewa badala ya kuendelea kusafiri mbali.

Kadhalika Kiongozi huyo aliwataka wananchi kupambana na magonjwa ya Malaria na Ukimwi kwa kuzingatia elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kutokomeza magonjwa hayo.

Akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka Wilaya ya Bagamoyo , Mkuu wa wilaya ya Kibaha Nickson Saimoni alisema mwenge wa uhuru ukiwa katika wilaya hiyo utapitia miradi Miradi 13 yenye thamani ya sh. shilingi bilioni 10.5.

Miongoni mwa miradi iliyopitiwa na mwenge wa uhuru ni pamoja na ujenzi wa madarasa mawili na ofisi moja katika shule ya msingi Uhuru, mradi wa vijana wa ufugaji kuku, uzinduzi wa huduma za upasuaji katika hospitali ya wilaya pamoja na ukaguzi wa ujenzi wa shule ya sekondari ya amali iliyoko katika kijiji cha Minazimikinda

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.