• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mzava aweka Jiwe la Msingi mradi wa maji Kimanzichana

Posted on: May 4th, 2024

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Godfrey Mzava, Mei 4 Mwaka 2024, ameweka jiwe la msingi mradi wa maji Kimanzichana, wilayani Mkuranga, uliogharimu sh.bilioni 5.2 ambao utanufaisha zaidi ya watu 20,000 na kusimamiwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA).

Akizungumza baada ya kukagua na kuridhishwa na mradi huo, wakati Mwenge ulipokuwa wilayani Mkuranga kutokea Kisarawe,Mzava alieleza mradi huo utakuwa mkombozi kwa jamii.

Hata hivyo, ameiagiza mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) kuweka ulinzi shirikishi kwa pamoja na wananchi wanaozunguka miradi ya maji dhidi ya hujuma za baadhi ya watu wasiokuwa na nia njema na miradi inayotekelezwa.

Anaeleza, ili miradi ilete tija kwa wananchi inayoendana na thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali ni lazima ilindwe na kutunzwa.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge, ameshiriki Mbio za Mwenge wilayani Mkuranga, na kueleza kwa sasa mkoa huo unapata maji safi na salama kwa asilimia 86.

Anasema,kwa maeneo ya mjini asilimia 93 na Vijijini 79.6 lengo ni kufikia asilimia 95 mijini na Vijijini asilimia 85.

"Tunafahamu kuwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan ndie mwanzilishi wa kampeni ya kumtua ndoo mama kichwani na anaendelea na jitihada ya kampeni hiyo ambapo kwa mkoa wa Pwani ameshatoa fedha nyingi kwa upande wa RUWASA na DAWASA."alieleza Kunenge.

Meneja wa RUWASA Wilayani Mkuranga ,Mhandisi Maria Malale akitoa taarifa ya mradi amesema, mradi wa maji Kimanzichana

ni sehemu ya mkataba mkubwa wenye thamani ya sh.bilioni 5.2 ambao umehusisha ,miradi mingine minne kwenye vijiji vya Mwarusembe,Dondo ,Sotele na Lukanga .

Ameeleza, gharama kwa Kimanzichana ni milioni 516,309,960 ambazo zimetolewa na Serikali Kuu kupitia program ya lipa kwa matokeo (PforR).

"Mradi umefikia asilimia 90 ya utekelezaji, baada ya maji kufika kwenye tenki kazi inayoendelea ni kuwaungia wateja maji majumbani kutoka kwenye bomba kuu, lengo likiwa kuwafikishia maji wateja 20,000" anasema Malale.

Akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka wilayani Kisarawe, Mkuu wa wilaya ya Mkuranga, Hadija Nasir alisema jumla ya miradi 13 yenye thamani ya sh. bilioni 10.2.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.