• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mzee mkongea akemea Vikali vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watendaji ambao wamekuwa wakihujumu miradi ya Maji.

Posted on: July 24th, 2019

 Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2019, Mzee Mkongea Alli amewataka watendaji wote chini kuacha mara moja tabia ya kuhujumu  ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo miradi yan maji huku akielekeza kuwa  mtendaji atakaebainika kushiriki katika hujuma hizo achukuliwe hatua kali za kisheria.


Akizungumza katika makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru katika kijiji cha Kipara Mpakani, Mkuranga mkoani Pwani , ukitokea Mkoani Dar es salaam ,Ali alisema haiwezekani serikali itekeleze mipango mizuri ili kuboresha sekta ya maji kisha atokee mtendaji wa chini kukwamisha juhudi hizo.


“Washukieni wazimawazima, Rais dk.John Magufuli alivyoingia madarakani aliahidi kutekeleza kuboresha sekta hiyo na kuleta maendeleo,na ana fanyakazi nzuri sasa watendaji wa chini wanaosuasua wana maana gani!!tushirikiane kuonyesha jitihada zinazofanywa na serikali”alieleza Ali.


 Alielezea  kuwa maji ni haki ya kila mtu, hivyo vyanzo vya maji vitunzwe kwa maslahi ya jamii.


Pia kiongozi huyo za mwenge,aliwataka wananchi kushiriki katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa na vitongoji.


Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akipokea mwenge wa Uhuru alisema kuwa  Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani hapa utakimbizwa kwenye Wilaya saba na  ,halmashauri Tisa ambapo miradi 95 itapitiwa yenye thamani  ya sh.Bilioni 40.436.6, kati ya miradi hiyo miradi 61 itakaguliwa,17 itawekwa jiwe la msingi,9 itazinduliwa na 8 itafunguliwa

.
Akizungumzia sekta ya maji, mhandisi Ndikilo alibainisha kuwa asilimia 52 ya watu mkoani humo wanapata huduma ya maji safi na salama na wanaopata maji watu 790,000 sawa na asilimia 67 ya wakazi wote milioni 1.2.
Wakati huo huo ,mkuu wa wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga alisema ,mwenge huo utatembelea miradi nane yenye thamani ya bilioni 5.177.
Mwenge wa Uhuru upo mkoani Pwani ukiwa ni mkoa wa 21 tangu ulipozinduliwa mkoani Njombe


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.