• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

NacoNGO yahimizwa kutoa Elimu kwa jamii

Posted on: August 28th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Simon Nickson, ameyahimiza mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanayofanya kazi mkoani Pwani kutoa elimu kwa jamii ili kuwajengea uwezo wa kutoa maoni na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu na uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hayo ameyasema Agosti 28,2024 wakati wa mkutano wa Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NacoNGO) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani.

“Tunawategemea sana katika kuhamasisha wananchi, kuongeza uelewa wao, na kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa kupiga kura. Aidha, tunategemea mashirika yasiyo ya kiserikali kushirikiana nasi katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii,” alisema Bw. Simon Nickson.

Aidha, aliipongeza NacoNGO kwa ushirikiano wake na serikali katika kutatua changamoto za wananchi, ikiwemo upatikanaji wa maji safi katika ngazi ya mkoa na kitaifa kwa ujumla.

Akiongea kwa niaba yay a katibu tawala Mkoa, Katibu tawala Msaidizi, Mhandisi. Felix Nlalio, alisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya mashirika yasiyo ya kiserikali na serikali, na pia kati ya mashirika yenyewe, ili kurahisisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo.

Mhandisi Nlalio alieleza umuhimu wa mashirika hayo kutoa elimu kwa jamii na kuibua masuala mbalimbali yanayoweza kutoa dira ya maendeleo, huku akiwatahadharisha dhidi ya uchochezi na vurugu.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NacoNGO), Jasper Makalla, alisisitiza umuhimu wa mashirika hayo kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na kutoa ushirikiano katika kuwasilisha taarifa za kifedha ili kuwezesha mipango ya maendeleo.

Naye mjumbe wa Baraza hilo kutoka shirika la Mamas and Papas, ambaye pia ni Afisa Habari wa shirika hilo, Bw. Omary Kombe, alilishauri Baraza kuandaa kongamano la mkoa litakalowezesha mashirika kuonyesha shughuli mbalimbali wanazozifanya.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.