• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Ndikilo atilia Shaka Ujenzi wa Jengo la Ofisi za TRA Pwani

Posted on: August 28th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh. Mhandisi Evarist Ndikilo ametilia shaka ujenzi wa jengo la Mamlaka ya mapato Tanzania  TRA Mkoa wa Pwani kwa kile alichoeleza kuwa  muonekano wa jengo hilo hauendani na thamani iliyotajwa ambayo ni shilingi bilioni  2.6.

Pia ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa  Pwani kulifanyia uchunguzi suala hilo ili kuweza kubaini kama kuna ubadhilifu wowote   uliofanyika wa fedha za  Serikali.

Hayo yamebainika leo  wakati wa Ziara yake ya  ukaguzi wa majengo yaliyojengwa katika kitovu cha Halmashauri ya Mji Kibaha,ambapo alitembelea  jengo la CRDB, Jengo la Uhamiaji Mkoa pamoja na Jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Mhandisi Ndikilo alisema kuwa haridhishwi na kasi ya ujenzi  wa jengo la Mamlaka ya Mapato nchini (TRA)  ambalo ilielezwa kuwa ujenzi wake ulianza  mwaka 2015 ambapo hadi sasa bado halijakamilika huku tayari mkandarasi wa jengo hilo  ameshalipwa asilimia 61 ya fedha za ujenzi wa jengo hilo.

Akitoa taarifa ya ujenzi  wa jengo hilo kwa niaba ya Mkurugenzi , Meneja wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani bi Euvansia Lwiwa alisema Ujenzi wa Jengo hilo ulianza April 2015 na lilitakiwa kumalizika may 2016. Bi Euvansia alieleza kuwa  ujenzi wa jengo hilo unatarajia kugharimu  shilingi 2,693,402,120.60 pamoja na VAT  ambapo  mkandarasi wa jengo hilo Humphrey Construction ltd ameshalipwa takribani Shilingi  1,653,267,510.00 pamoja na VAT.

Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ni moja ya Tasisi ya Serikali ambayo ilipewa eneo la kujenga  Ofisi katika eneo la kitovu cha mji cha Halmashauri ya Mji Kibaha ambapo mpaka sasa ujenzi wake haujakamilika.

Katika Hatua nyingine Mhandisi Ndikilo amezipongeza taasisi za Uhamiaji, Benki ya CRDB na NMB kwa kuweza kutekeleza Agizo la  Waziri Mkuu kwa asilimia mia moja. Ikumbukwe kuwa Mhe.Waziri Mkuu alitoa agizo kwa taasisi zote zilizopewa viwanja katika kitovu cha Mji Kibaha kukamilisha ujenzi huo kwa wakati.Mhe. Waziri Mkuu alitoa agizo hilo alipokuwa akifungua jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Pwani Septemba, 2016.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88