• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Ndikilo awataka waumini wa dini ya Kiislam Mkopani Pwani Kuendelea kuliombea Taifa.

Posted on: April 26th, 2021

Muu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ametoa rai kwa waumini wa dini ya Kiislam wakati wakiendelea na mfungo wa mwezi wa Ramadhani kutumia muda kuliombea Taifa  kuendelee kuwa tulivu, kumuombea Rais mama Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wakatekeleze majukumu yao kama walivyopanga.

Ndikilo alitoa rai hiyo katika hafla fupi ya futari aliyoiandaa kwa ajili ya watu mbalimbali wa mkoa huo kushiriki futari pamoja nyumbani kwake.

Ndikilo alitumia nafasi hiyo kuwasihi waumini wa dini hiyo kutumia muda wa mfungo kuliombea Taifa na kila Jambo lililopangwa na Rais na wasaidizi wake lifanyike kwa ufulivu.

Aidha alitoa rai kwa viongozi wa Halmashauri kuhakikisha fedha zinazopitishwa kwenye bajeti na kufika kwenye maeneo yao zinasimamiwa vizuri.

Alisema tayari bajeti ya zaidi ya shilingi bilion mbili ya mkoa huo imeshapitishwa Bunngeni hivyo ni vema zitumike kama zilivyolengwa na Halmashauri zisiangukie katika hati chafu

Aliwataka viongozi ngazi ya Wilaya kuendelea kuwapa ushirikiano wawekezaji wanaofika kwenye maeneo yao ili wapate huduma zote zinazotakiwa kwa wakati.

Akizungumzia katika suala la Elimu alisema Mkoa huo umejipanga kuinua kiwango cha ufaulu kwa wahitimu kuanzia ngazi ya msingi na kuendelea kushika namba nzuri kitaifa.

Ndikilo alisisitiza suala la wenye dhamana ya kutoa haki kuendea kiufanya hivyo kwa wananchi hususani wanyonge.

Aliwakumbusha wakazi wa mkoa huo kuendelea kukata bima ya afya ili kuondoa usumbufu na malipo ya gharama kubwa pindi wanapoumwa.

" Hadi sasa ni asilimia 5.1 ya wakazi wa mkoa huu ambao Wana bima ya afya, tambueni kuna faida ya kukata bima kwa familia magon wa hayapigi hodi na hujui yatakukuta ukiwa na hali gani" alisema

Katika neno lake la shukrani kwa waliohudhuria kwenye futari hiyo aliwasihi wafanyabiashara kuwasaidia waumini was dini ya Kiislam kwa kuwarahisishia upatikanaji wa bidhaa wanazobitaji kwa ajili ya futari kwa gharama ileile na kuepuka kutumia kipindi hkii kujinufaisha.

Mkuu wa mkoa alitoa futari kwa vituo vitano vya kulelea watoto yatima iliyogharimu kiasi cha Shilingi Milion mbili

Akishukuru baada ya hafla hiyo Shekhe mkuu wa mkoa wa Pwani Hamis Mtupa alimpongeza mkuu huyo wa mkoa kwa kuwakumbuka waumini wa dini ya Kiislam na majirani zake na kufuturu nao pamoja kwani kwa njia hiyo inamuweka karibu na Mungu.

Alionya baadhi ya watu ambao wanatumia vituo vya watoto yatima kujinufaisha huku akisisitiza kila mmoja kuwaonea huruma watoto yatima.

“hgyuhjhbhju Kama kuna mtu anamkashifu Mungu asiachwe kwani kwa kipindi tulichonacho tuendelee kuwa karibu na Mungu"


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.