• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Ndikilo awataka Wawekezaji wa Viwanda kuzingatia haki za Wafanyakazi

Posted on: August 16th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Mhe.Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka wawekezaji wa viwanda kuhakikisha wanazingatia haki za wafanyakazi kwa kuwalipa maslahi yao kama inavyotakiwa bila la kuwafanyia vitendo vya unyanyasaji na ubaguzi wowote kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu zote za nchi kwa lengo la kutimiza azma ya serikali ya kuwa na uchumi wa viwanda.

Kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi kwa ajili ya uwekaji wa mawe ya msingi katika kiwanda vitatu tofauti vya kuzalishia Nondo pamoja na mitungi ya Gesi vilivyopo Wilayani Kibaha,ambapo pia akusita kuwaasa watumishi na viongozi kuachana na vitendo vya urasimu kwa wawekezaji na badala yake watoe ushirikiano wa kutosha bila vikwazo vyovyote kwa lengo la kuleta chachu ya maendeleo kwa wananchi.

“Kwa sasa Mkoa wetu wa Pwani tunaendelea na kutekeleza agizo la Rais wetu Dk. John Pombe Maguli katika ujenzi wa viwanda mbali mbali, hivyo kitu kikubwa ninachowaomba wawekezaji wote wanaokuja kuhakikisha wanazingatia haki za wafanyakazi ili kuweza kutimiza malengo ambayo yamewekwa na serikali ya awamu ya tano ya kuwa na uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025,”alisema Mhandisi Ndikilo.

Aidha alibainisha kuwa wawekezaji ni chanchu kubwa ya kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo kwa wananchi kutokana na wengine wao kuweza kupata fursa mbali mbali za ajira pindi viwanda vinapoanzishwa hivyo ni jukumu la watendaji na viongozi kuwa bega kwa bega na wadau wa maendeleo ili kuweza kuongeza zaidi ujenzi wa viwanda vingine.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa makampuni ya lake group Ally Awadhi lengo lao kubwa ni kumuunga mkono Rais wa awamu ya tano Dk. John Pombe Magufuli katika ujenzi wa viwanda pamoja na kuwainua wananchi kiuchumi hasa ambao wanaoishi katika kaya ambazo ni masikini kuwapatia fursa za ajira.

Pia aliongeza kwamba kutokana na kuwepo kwa uwekezaji wa viwanda hivyo kutasaidia kuwainua wananchi wa Wilayani Kibaha pamoja na Mkoa wa Pwani kwa ujumla kutokana na kupata ajira ambazo zitasaidia kuwaongezea kipato sambamba na kuchangia katika ulipaji wa kodi amabazo zitafanya pato la Taifa kuongezeka.

Kukamilika kwa viwanda hivyo vitatu vya utengenezaji wa nondo,na chuma hususan cha kutengenezea mitungi ya gesi kutaweza kusaidia wananchi kwa kiasi kikubwa fursa za ajira pamoja na kupunguza changamoto ya ukataji wa miti ovyo kwa ajili ya kupata nishati ya mkaa ambayo imekuwa ni kero ya siku nyingi katika maeneo ya Mkoa wa Pwani.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.