• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Ndikilo awataka Wawekezaji wa Viwanda kuzingatia haki za Wafanyakazi

Posted on: August 16th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Mhe.Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka wawekezaji wa viwanda kuhakikisha wanazingatia haki za wafanyakazi kwa kuwalipa maslahi yao kama inavyotakiwa bila la kuwafanyia vitendo vya unyanyasaji na ubaguzi wowote kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu zote za nchi kwa lengo la kutimiza azma ya serikali ya kuwa na uchumi wa viwanda.

Kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi kwa ajili ya uwekaji wa mawe ya msingi katika kiwanda vitatu tofauti vya kuzalishia Nondo pamoja na mitungi ya Gesi vilivyopo Wilayani Kibaha,ambapo pia akusita kuwaasa watumishi na viongozi kuachana na vitendo vya urasimu kwa wawekezaji na badala yake watoe ushirikiano wa kutosha bila vikwazo vyovyote kwa lengo la kuleta chachu ya maendeleo kwa wananchi.

“Kwa sasa Mkoa wetu wa Pwani tunaendelea na kutekeleza agizo la Rais wetu Dk. John Pombe Maguli katika ujenzi wa viwanda mbali mbali, hivyo kitu kikubwa ninachowaomba wawekezaji wote wanaokuja kuhakikisha wanazingatia haki za wafanyakazi ili kuweza kutimiza malengo ambayo yamewekwa na serikali ya awamu ya tano ya kuwa na uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025,”alisema Mhandisi Ndikilo.

Aidha alibainisha kuwa wawekezaji ni chanchu kubwa ya kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo kwa wananchi kutokana na wengine wao kuweza kupata fursa mbali mbali za ajira pindi viwanda vinapoanzishwa hivyo ni jukumu la watendaji na viongozi kuwa bega kwa bega na wadau wa maendeleo ili kuweza kuongeza zaidi ujenzi wa viwanda vingine.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa makampuni ya lake group Ally Awadhi lengo lao kubwa ni kumuunga mkono Rais wa awamu ya tano Dk. John Pombe Magufuli katika ujenzi wa viwanda pamoja na kuwainua wananchi kiuchumi hasa ambao wanaoishi katika kaya ambazo ni masikini kuwapatia fursa za ajira.

Pia aliongeza kwamba kutokana na kuwepo kwa uwekezaji wa viwanda hivyo kutasaidia kuwainua wananchi wa Wilayani Kibaha pamoja na Mkoa wa Pwani kwa ujumla kutokana na kupata ajira ambazo zitasaidia kuwaongezea kipato sambamba na kuchangia katika ulipaji wa kodi amabazo zitafanya pato la Taifa kuongezeka.

Kukamilika kwa viwanda hivyo vitatu vya utengenezaji wa nondo,na chuma hususan cha kutengenezea mitungi ya gesi kutaweza kusaidia wananchi kwa kiasi kikubwa fursa za ajira pamoja na kupunguza changamoto ya ukataji wa miti ovyo kwa ajili ya kupata nishati ya mkaa ambayo imekuwa ni kero ya siku nyingi katika maeneo ya Mkoa wa Pwani.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Pwani yaenedelea Kuzalisha Ajira Kuumuunga Mkono Mhe Rais Kupitia Uwekezaji wa Viwanda

    January 05, 2026
  • Hakikisheni Mradi wa bwawa la maji Kidunda Hausimami _ Dkt Mwigulu

    January 02, 2026
  • Zaid ya Ajira 4,000 Kuzalishwa Bagamoyo kufuatia Makampuni Sita Kusini Mikataba Bemc Sez.

    December 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98