• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Pili Mnyema Aanza Rasmi Majukumu Kama Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani.

Posted on: June 27th, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Pili Hassan Mnyema, amekabidhiwa rasmi ofisi leo Juni 27, 2025, kufuatia mabadiliko ya kiutendaji yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, mnamo Juni 23, 2025.

Katika mabadiliko hayo ya uongozi, Pili Mnyema amebadilishana vituo vya kazi na aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, ambaye sasa atahudumu Mkoa wa Tanga.

Hafla ya makabidhiano imefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kibaha.

Akizungumza baada ya kupokea ofisi, Mnyema alieleza kushukuru kwa kuendelea kuaminiwa na Mheshimiwa Rais, huku akiomba ushirikiano kutoka kwa watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Pwani.

“Ninaomba kwa dhati ushirikiano wenu. Sisi makatibu tawala ni waratibu tu, lakini utekelezaji wa shughuli za kila siku unafanywa na nyinyi. Kazi bila ushirikiano haiwezekani. Nipo tayari kuendelea kujifunza kutoka kwenu na pia kuwafundisha kwa yale niliyojifunza,” alisema Mnyema.

Kwa upande wake, Rashid Mchatta alitoa shukrani kwa uongozi wa mkoa na watumishi wote kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi chake cha uongozi kilichodumu kwa miaka miwili na miezi mitatu.

“Nitumie fursa hii kuwashukuru kwa ushirikiano mkubwa mlionipa. Kwa uzoefu wangu, watumishi wa Mkoa wa Pwani mnajituma sana. Naomba muendelee kuonesha ushirikiano huo kwa Katibu Tawala mpya kama mlivyofanya kwangu,” alisema Mchatta.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa hafla hiyo, viongozi mbalimbali akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kibaha, Regina Bieda; Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia, Shabani Shabani; Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kutoka Sekretarieti ya Mkoa, Obadia Malima; na Meneja wa TRA Mkoa wa Pwani, Masawe Masawe, waliwapongeza viongozi hao kwa kuaminiwa na Mheshimiwa Rais, huku wakiahidi ushirikiano wa karibu kwa Katibu Tawala mpya katika kutekeleza majukumu ya serikali kwa manufaa ya wananchi wa Mkoa wa Pwani.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77