• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani Imejipanga zaid Kuongeza Viwanda na wawekezaji ili Kutekeleza Ilani ya Uchaguzi

Posted on: December 24th, 2020

MKoa wa Pwani ,umepiga hatua kali na kufikia kuwa na viwanda vikubwa,vya kati,vidogo na vidogodogo 1,236 kwa mwaka 2020 kutoka viwanda 396 kwa mwaka 2016.

Kasi hiyo ya ujenzi wa viwanda ni kubwa ndani ya miaka minne ,ambapo viongozi watendaji wa mkoa huo wameamua kuongeza jitihada za kuhamasisha wawekezaji ili kuhakikisha mkoa huo unakuwa Ukanda wa Viwanda.

Akielezea mafanikio hayo ,Mkuu wa mkoa wa Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo alisema ,bado wamejipanga kuongeza viwanda na wawekezaji ili kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Pamoja na hayo ,alieleza kati ya wilaya zote mkoani hapo ,lakini bado wilaya tatu ya Kibiti,Rufiji na Mafia zinasuasua kufikia kasi hiyo .

Kutokana na hilo ,ameelekeza nguvu ielekezwe katika wilaya hizo kwani fursa zipo .

"Tunapokea pongezi na sifa nyingi kutoka kwa viongozi wakuu Taifa akiwemo Rais John Magufuli ,mikoani na nchi mbalimbali hivyo nawataka viongozi mkoa kuendelea kulinda maendeleo hayo na kuinua sekta ya viwanda" alibainisha Ndikilo.

Akielezea juu ya sekta ya elimu ,ameelekeza kuhakikisha madarasa yanayopaswa kujengwa yajengwe ,ili wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza January 2021 wawe wote darasani ,kwani bado wanafunzi 6,577 wanaonekana watakosa kuingia madarasani.

Akizungumzia tatizo la upungufu wa watumishi , alisema pamoja na juhudi za mkoa lakini changamoto hii inajirudia kila mwaka.

Katibu tawala msaidizi mipango na uratibu Edward Mwakipesile alifafanua ,kuna changamoto kubwa ya upungufu wa watumishi mbalimbali na idara ya afya upande wa wataalamu wa Xray ni shida .

Nae mkuu wa wilaya wa Mafia , Shaibu Nnduma alisema ,idara 14 zinakaimisha watendaji na wote wanaokaimu hawana sifa.

Kufuatia changamoto hiyo ,katibu mkuu TAMISEMI alifikishiwa taarifa hizo na kuomba tena awasilishiwe juu ya hilo na kuhusiana na tatizo la Mafia amedai atafika mwenyewe Mafia .

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.