• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

"Pwani kuendeleza na kuanzisha Viwanda kupitia Dhana ya Kongano" RC Ndikilo

Posted on: January 29th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe Mhandisi Evarist Ndikilo amefungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo Watendaji wa Serikali na Sekta Binafsi Mkoani hapo juu ya dhana ya Kongano.

Ndikilo ameipongeza SIDO kwa kuendesha Warsha hiyo yenye lengo la Kujenga uelewa wa pamoja wa dhana ya Kongano, akizungumzia Dhana ya Kongano Ndikilo amesema; Dhana ya Kongano ni kutambua faida za kiushindani kwa kuwezesha na kuimarisha uunganishwaji na ushirikiano baina ya wadau mbalimbali.Ameeleza Kongano ni mkusanyiko wa Viwanda vilivyo karibu karibu vinavyofanya shughuli zinazo fanana zikisaidiwa na watoa huduma, ametaja faida za Kongano hizo ni pamoja na kuwezesha wajasiriamali hao kupata Mikopo, Teknolojia, taarifa za masoko na huduma za taasisi kama vile TBS, TFDA n.k.

Akizungumza kwenye Warsha hiyo Ndikilo amewataka washiriki wa Warsha hiyo, kuandaa Mpango wa Ujenzi wa Viwanda kwa maeneo yaliyotengwa kwa Ujenzi wa Viwanda, kuchagua mazao ya Kimakakati ya kuanzisha Kongano, ametolea mfano wa Zao la Nazi na Mwani kwa Wilaya za Mafia, Mhogo kwa Wilaya za Kibiti na Mkuranga, Matunda kwa Wilaya za Bagamoyo na Chalinze. "

"Katibu Tawala Mkoa Tuwapelekee maelekezo mahususi Halamshauri zetu Kuhusu uanzishwaji wa Kongano na kuwasimamia katika Kuanzisha na kuchagua mazao ambayo yatamkomboa Mkulima, amewataka Maafisa Mipango wa Halmshauri Mkoani humo kuandaa mipango kazi ya Utekelezaji wa dhana Kongano na kuingiza kwenye Bajeti za Halmshauri. Nataka Mkoa wetu utoke kwenye ordha ya Mikoa ambayo hazijaanzisha Kongano.

Ndikilo amesema nafasi ya Mkoa huo na Wilaya katika Kuendeleza Viwanda ni pamoja na kuwezesha uanzishaji wa Kongano hizo, amewataka SIDO Mkoa wa Pwani kuhakisha wanalisimamia ili litekelezwe kwa haraka ndani ya kipindi kifupi. Amesema jukumu jingine ni kuandaa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa ambao tayari umeandaliwa na ulizinduliwa mwaka 2019, kufanya maonesho ya Viwanda, kutembelea Miradi ya Sekta Binafsi, kufanya vikao vya Mabaraza ya biashara Mkoa, Uanzishwaji wa madawati ya Uwekezaji na Viwanda."Mambo haya yamelenga Kuanzisha na kuendeleza Viwanda kwenye Mkoa wetu" alisema Ndikilo.

Akitaja mafanikio ya Sekta ya Viwanda Ndikilo amesema Mkoa huo una viwanda 1236 vikubwa 68, vya Kati, 112, Vidogo 168 na Vidogo sana 888

Ameeleza Siri ya kupiga hatua kubwa kwenye Ujenzi wa sekta ya Viwanda ni pamoja na Viongozi kuanzia ngazi ya kitongoji hadi Mkoa kuzungumza lugha moja kuhusiana na Uwekezaji, Kuondoa urasimu katika kuhudumia wawekezaji na kutatua changamoto za wawekezaji kwa kuwaunganisha na Taasisi Wezeshi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88