• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani yapanga Mikakati ya Kupambana na Corona

Posted on: March 20th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Mhandisi Evarist Ndikilo, amesema kuwa  Mkoa wa Pwani umeunda   kamati mbalimbali kwa ajili ya tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona katika Halmashauri zote tisa.

Hayo amebainisha  wakati akifungua kikao Maalumu cha dharura Cha Afya ya msingi, kilichofanyika machi 20, kikiwa na lengo la kuweka mikakati ikiwa atapatikana mgonjwa wa Corona kwa Mkoa hapa

Mhandisi Ndikilo alisema, kamati hizo zitakuwa na majukumu ya Kupambana na kudhibiti ugonjwa huo katika nyanja zote.

Aidha alisema kuwa  katika Mkoa huo watu wanne walishukiwa kuwa na virusi vya ugonjwa huo , ambao walipochukuliwa sampuli majibu yote yalionyesha hawana maambukizi.

Mhandisi  Ndikilo alisema, wananchi wakaendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo kwa kufuata miongozo mbalimbali inayotolewa na idara ya Afya ba Serikali kwenye maeneo yote.

" Sisi kama Mkoa tutasimamia maagizo yanayotolewa, ili kuhakikisha kuwa jamii yetu ya Mkoa wa Pwani inaendelea kuwa salama na bila kuwa na ugonjwa huu" alisema Mhandisi Ndikilo.

Katika Hatua nyingine Mhandisi Ndikilo kwa viongozi wa ngazi zote kuhakikisha kuwa mipango kwa ajili ya Kupambana kudhibiti ugonjwa huo iliyoandaliwa inatekelezwa kikamilifu.

Wakati huo huo  alitoa agizo kwa mamlaka ya maji safi na maji taka (DAWASA) kuhakikisha maji hayakatiki ili wananchi watumie kunawa mikono Mara kwa Mara kwa kutumia sabuni.

Nae Mganga mkuu wa Mkoa wa Pwani Dkt Gunini Kamba alisema kuwa  kuhusiana na vitakasa mikono , wananchi watatangaziwa sehemu ya kuzipata kwa gharama nafuu, na kwasasa utaratibu unaendelea kwa kuwasiliana na bohari ya madawati kufungua duka litakalopunguza adha ya kupatikana dawa hizo.

Mwenyekiti wa wafanyabiashara wadogowadogo (Machinga) Philemon Maliga aliomba elimu zaidi itolewe kwa kundi hilo ambalo linazunguka katika minada mbalimbali ya biashara.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.