• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani yapania kumaliza Kero za Upatikanaji wa Huduma za maji Vijijini

Posted on: March 5th, 2021

 Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo leo Machi, 5 2021 ameendesha Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maji Vijijini , katika Kikao hicho kilichowakutanisha Viongozi wa Mkoa huo wakiwemo Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wahe. Wabunge na Kamati ya Usalama na Wataalamu wa RUWASA Mkoa Ndikilo amesema

“Hadi kufikia Januari 2021 Wastani wa Asilimia 73 ya Wakazi wote waishio Mkoani Pwani wanapata huduma za Maji safi na Salama. “Hali halisi ya Mkoa wetu ya Upatikanaji wa Huduma ya Maji kwa Mijini nia Asilimia 84% na Asilimia 71% kwa Wananchi waishio Vijijini”. Tunapambana kupata asilimia 14 kwa Vijijini na Asilimia 11 kwa Mijini ili kufikia Lengo lililopo kwenye Ilani ya Uchaguzi wa Chama ya Cha Mapinduzi Alisema Ndikilo.

Ndikilo Amesema Wamekutana kama Viongozi wa Mkoa kujadili namna gani watamsaidia Mhe Rais kufikia Malengo na Maono yake ya kushughulikia shida ya Maji Vijijini , Ndikilo alinukuu Hotuba ya Mhe Rais wakati wa Kulifungua Bunge la 12 kuwa “wakati wa Kampeni za Uchaguzi maeneo mengi aliyopita Mhe Rais alikutana na Shida ya Maji hasa vijijini” Hivyo Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi hiki imedhamiria kuweka nguvu kubwa katika kutatua changamoto ya Maji vijijini. “Tumekutana hapa kama viongozi wa Mkoa huu kujadili namna Maono ya Mhe Rais na Malengo ya kuondoa shida ya Maji yanafikiwaje.”

Ndikilo ametaja Miradi 26 mipya na iliyokarabatiwa ya Maji Vijijini yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 3.9 iliyotekelezwa kwa kipindi cha Miaka miwili 2019 hadi sasa na kunufaisha wakazi 38,889. Ameeleza pia Miradi mipya na inayokarabatiwa 48 ya Maji Vijijini inaendelea kutekelezwa yenye thamani ya shilingi Bilioni 9.8 ambayo itanufaisha wakazi zaidi ya 99,334.

Ndikilo amesema Kuwa kwa kuwa Serikali ya Awamu imedhamiria kutatua changamoto ya Maji hasa Vijijini tunatarajia kuletwa kwa fedha nyingi za utekelezaji wa Miradi, Ndikilo ametoa Rai kwa Viongozi wote Mkoani humu kuhakikisha kuwa Miradi yote inatekelezwa kwa ubora, Miradi inaakisi thamani ya Fedha , Miradi ikamilike kwa Wakati na kuhakikisha watumiaji wote wanatunza vyanzo vya Maji na Miundombinu ya Miradi hiyo ili miradi hiyo iwe endelevu. Ametaka pia Taasisi zote za Serikali kuendelea Kulipa Ankara za Maji wanazodaiwa kwa kuwa maji siyo Bure “ Maji ni Bidhaa inayonunulia, (Water is a Commodity and has a Value). Ndikilo ametoa Rai kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya Mkoani humo kutenga maeneo kwa ajili ujenzi wa Ofisi za RUWASA ambayo ni Taasisi Mpya.

Ndikilo ametaka Kupitia kikao hicho kuazimia kuwa kuwa Vyanzo vya Maji vya DAWASA vitumike kupeleka maji maeneo ya Vijijini isisubiri mpaka RUWASA ichimbe visima au mabwawa.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.