• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani yapokea kikombe cha Ushindi katika Mashindani ya riadha ya wanawake :Ladies First'

Posted on: November 29th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid MChatta, amepokea Kikombe cha Ushindi baada ya timu ya Mkoa wa Pwani kuibuka mabingwa wa jumla katika Mashindano ya Riadha ya Wanawake Ladies First, msimu wa sita. Mashindano hayo yalihitimishwa Novemba 24, 2024, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Wanariadha wa kike kutoka Filbert Bayi Sports Academy waliliwakilisha vyema Mkoa wa Pwani, wakitwaa ushindi wa kwanza miongoni mwa mikoa 31 ya Tanzania Bara na Visiwani. Nafasi ya pili ilinyakuliwa na Arusha, huku Kilimanjaro ikimaliza katika nafasi ya tatu.

Akizungumza baada ya kupokea kikombe, Bwana Rashid MChatta aliwapongeza wanariadha, walimu wao, na uongozi wa Filbert Bayi Sports Academy kwa juhudi zao za kukuza vipaji vya michezo mkoani hapa, hatua inayosaidia kuku kwa maendeleo ya sekta hiyo nchini.

Katika matokeo ya mchezaji mmoja mmoja mita 100 Siwema Matogoro (Pwani) amefanikiwa kukimbia 12:02, Bertha Evarest (Kilimanjaro) akikimbia kwa 12:21 na Elizabeth Victor (Arusha) ametumia 12:34.

Mita 200 Bertha Evarist (Kilimanjaro) amekimbia 25:39, huku Siwema Julius wa Pwani akikimbia kwa 25:41 na Aisha Thani wa mjini Magharibi akishika nafasi ya tatu kwa kutumia 26:52.

Matokeo mengine ni mita 400 Sharifa Mawazo wa Pwani amekimbia 58:53, huku Lucia Pius wa Pwani akishika nafasi ya pili kwa kutumia 58:71 na Magreth Fikiri wa Kilimanjaro kwa 59:07.

Pia katika mbio za mita 800 Sara Masalu wa Morogoro amekimbia 2:20:56, huku Salma Charles wa Pwani akikimbia 2:20:86 na Zahara Ramadhan wa Singida akitumia 2:21:53.

Kwa upande wa mita 1500 Neema Nyaisawa wa kilimanjaro amekimbia 4:40:07, huku Sara Masalu wa Morogoro akikimbia 4:44:36 na Zainab Issa wa Pwani akimaliza kwa 4:44:55.

Mashindano ya "LADIES FIRST" yalidhaminiwa na Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) na kuratibiwa na Baraza la Michezo la Taifa kwa kushirikiana na Shirikisho la Riadha Tanzania.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.