• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani yaweka mikakati ya kuongeza kasi ya ugawaji wa Vitambulisho vya Wafanyabiasahara wadogo(Machinga)

Posted on: April 13th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo leo Aprili 13, 2021 ameendesha kikao cha siku Moja cha Wadau wa Vitambulisho vya Wajasiriamali wadogo Mkoani hapo. 

Akizungumza kwenye ufunguzi kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ofisini kwake Kibaha, Ndikilo amesema wamekutana ili kuweka Mikakati ya kuhakikisha wanatekeleza maelekezo ya Serikali ya kuwarasimisha Wafanyabiashara wadogo kwa kuwapatia Vitambulisho kwa malipo ya Shilingi 20,000. Ameeleeza kuwa utaratibu huo wa kuwatambua Wafanyabiashara wadogo ulianza mwaka 2019 ambapo Mkoa huo ulifanikiwa kugawa Vitambulisho 59,045 sawa na asilimia 98 ya Vitambulisho 60,000 na kukusanya Shilingi Bilioni 1.181. kwa mwaka 2020 Mkoa huo Uligawa Vitambulisho 17,607 sawa na Asilimia 27 ya Vitambulisho 63,500 vilivyotolewa na kukusanya Shilingi Milioni 337.1

Ameeleeza kuwa kwa Mwaka 2021 zoezi hilo limeanza Mwezi Machi 2021 ambapo Mkoa huo umepewa Vitambulisho 61,000, ameelekeza Viongozi wote Kwenda kusimamia Jukumu la Ugawaji Vitambulisho ili Malengo ya Serikali ya Urasimishaji wa Biashara na kuwezesha Serikali kupata mapato kwa ajili ya kuhudumia Wanachi yatimie.

Amewataka Viongozi na Watendaji Mkoani hapo kuhakikisha wanaongeza kasi ya uuzaji Vitambulisho hivyo, ambapo kwa mwaka huu 2021 zoezi hilo litafanyika Kupitia mfumo wa Kielektroniki Machinga Online Registration System

Katika kuhakikisha wanaongeza kasi ya uuzaji Vitambulisho hivyo Ndikilo amewaelekeza Viongozi hao mambo yafuatayo:- kuongeza nguvu kwenye utoaji wa Elimu kwa Wafanyabiashara wadogo, amewataka Watendaji katika ngazi ya Kata na Vijiji kupeana malengo maalumu ya kuhamasisha utoaji wa Vitambulisho, amewataka kuweka utaratibu wa kuwafikia Wafanyabiashara Wadogo na Watoa huduma kwenye maeneo yao badala ya kuwasubiri maofisini.

Amewataka kupitia kikao hicho kuweka Agizo la Wafanyabiashara Wadogo kwenye masoko na Minada kutoruhusiwa kufanya Biashara kwenye maeneo hayo bila ya Vitambulisho na kuwataka Wakurugenzi Kufanya Ukaguzi katika masoko na minada ili kufuatilia Maagizo hayo.

Amewataka pia Viongozi wa Wafanyabiashara Mkoani hapo TCCIA, Jumuiya ya Wafanyabiashara, Shirika la Wamachinga kushirikiana na Serikali ya Wilaya na Mkoa katika kuhamasisha uchukuaji wa Vitambulisho.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.