• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani yazidi Kung'ara matokeo Kidato cha nne

Posted on: January 31st, 2019

Mkoa wa Pwani, umeongoza kwa idadi kubwa ya shule za Sekondari na watahiniwa kwenye orodha ya kumi bora kitaifa katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2018.

Kufatia matokeo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Dkt Charles Msonde katika orodha ya shul ezenye watahiniwa zaid ya 40 zilizofanya vizuri kitaifa , miongoni  mwa shule  tatu ni za mkoa wa Pwani.

Shule hizo na nafasi zilizoshika ni pamoja na Marian Girls (3), Marian Boys (4) na Ahmes(8) ambazo zote zipo wilayani Bagamoyo.

Kwa upande wa watahiniwa waliofanya vizuri zaidi kitaifa na kuwa katika orodha ya kumi bora wanne wanatoka katika shule za Mkoa wa Pwani.

Majina ya watahiniwa hao  ambao wote wanatoka shule ya sekondari marian Boys  na nafasi walizoshika   ni pamoja na Avith G.Kibani(2), Gibson B. Katuma (7), Bryson G Jandwa(8) na Isack Julias(10).

Wanafunzi hao pia wametajwa katika orodha ya watahiniwa wavulana waliofanya vizuri zaidi na kuwa katika kumi bora kitaifa  ambapo nafasi zao ni AvithG. Kibani (2), Gibson B. Katuma(3), Bryson G Jandwa (4) na Isack Julias(5).

Kufatia kwa ufaulu huo mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amezipongeza shule hizo kwa kuweza kufanya vizuri na kuingia katika kumi bora.

“Napenda kuzipongeza shule hizi kwa kuweza kufanya vizuri na zimesaidia kuufanya Mkoa wetu wa Pwani kuwa kinara na kushika nafasi ya 7 kwa mwaka huu , ingawa kwa mwaka jana tulikuwa  nafasi ya pili kitaifa lakini bado tupo katika kumi bora “ alisema Ndikilo.

Akizungumzia hali ya matokeo katika shule za Serikali Mhandisi Ndiklo alisema kuwa ,nazo zimefanya vizuri katika matokeo hayo kwani hakuna shule hata moja Mkoani Pwani iliyo kwenye orodha ya shule kumi za mwisho, na akasema “shule zetu za Serikali nazo zimesaidia kwa namna moja au nyingine katika kuufanya Mkoa wetu wa Pwani kuingia katika kumi bora , hivyo napenda kuwapongeza walimu wa shule zetu za Serikali pia”.

Aidha Mhandisi Ndikilo amewataka Walimu wa shule za Serikali kujifunza kutoka katika shule za Binafsi  zinazofanya vizuri kwenye matokeo ya mtihani  katika suala zima la ufundishaji na katoa rai kwa wadau wote wa elimu Mkoani Pwani, kutoa ushirikiano wa kutosha  katika kuzisimamia shule zote za Serikali na kuhakikisha  nazo zinafanya vizuri.

Pia amewakumbusha wazazi pamoja na walezi kuwa wanajukumu la kuwalea na kuwasimamia watoto wao ili wapate elimu na kutoliacha jukumu hilo mikononi mwa walimu pekee.

Mkoa wa Pwani umekuwa ukifanya Vizuri katika matokeo ya mitihani mablimbali kwani baadhi ya shule zake na baadhi ya watahiniwa wamekuwa wakipata nafasi za juu katika ufaula na  kwa mwaka 2018 ambapo mkoa umeshika nafasi ya 7 kitaifa katika matokeo ya kidato cha nne.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.